Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakuugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.
Mkuu so sasa hivi unaamini nyomi ndiyo wapiga kura? Maana wenzio waan mawazo tofauti na wewe . Ila ije mvua liwake jua Jiwe hashindi uchaguzi huu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakuugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.


Toka jana watu wamesombwa kutoka:
1 Makete
2.ludea
3. Isimani.
4. Kidomole.
5. Kilolo.
6. Mafinga,
7. Njombe.
8. shule na vyuo vyote waliopo wameambiwa waende .
9. Tasisi za serikali wamepewa uniform bure na kuambiwa waende.
10. Wafungwa nao hawapo nyuma.

h
 
Pongezi ziende kwa kamati ya usombaji na mmekula hela za asas ili msombe watu.



Ila kura zote ni kwa lissu.
 
Wasanii tunawatumia tangu 1995,na tunawapiga kila uchaguzi kuanzia Serikali za mitaaa mpaka Urais. Chama saccos cha mbowe, huwezi linganisha na CCM hata kidogo.
Kuna utopolo wenu mmoja alisema watatumia bendi yenu, unamkumbuka mkuu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Toka jana watu wamesombwa kutoka:
1 Makete
2.ludea
3. Isimani.
4. Kidomole.
5. Kilolo.
6. Mafinga,
7. Njombe.
8. shule na vyuo vyote waliopo wameambiwa waende .
9. Tasisi za serikali wamepewa uniform bure na kuambiwa waende.
10. Wafungwa nao hawapo nyuma.

h
Tuanzie kwako, je unaweza kusombwa kwenda kwenye mkutano bila ridhaa yako? Kama sio kwanini na saccos ya Mbowe isiweke fungu la fedha kwa ajili ya kusomba wananchi!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Unatambua kwa nini hakwenda mara ya kwanza kwa mujibu wa ratiba. Alitaka hakikisho la kusombewa watu kwa kadiri iwezekanavyo kutoka mikoa jirani. Na hapo kweli mburura wa kijani amewapata, Ila cha kusikitisha hakuna sera wala hoja, yaani ni 'empty & hopeless case" Hata wasikilizaji waliohudhuria wamenuna kama vile wamelambishwa ndimu.

Ebu linganisha tu, na uangalia kule ktk mkutano wa Nyamongo, licha ya watu kupigwa mabomu ya machozi, bado watu wamejaa hamasa, sura zenye bashsha na furaha huku wakimsikiliza kiongozi wao wampendaye.
Mimi pia nipo hapa kwenye viunga vya mji wa iringa leo bajaji zilikua zinapita mitaani kusomba watu kwenda samora asubuhi kabisa mpaka nikajiuliza hawa watu kichwani wapo timamu kweli

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Toka jana watu wamesombwa kutoka:
1 Makete
2.ludea
3. Isimani.
4. Kidomole.
5. Kilolo.
6. Mafinga,
7. Njombe.
8. shule na vyuo vyote waliopo wameambiwa waende .
9. Tasisi za serikali wamepewa uniform bure na kuambiwa waende.
10. Wafungwa nao hawapo nyuma.

h
Hairuhusiwi?
 
Toka jana watu wamesombwa kutoka:
1 Makete
2.ludea
3. Isimani.
4. Kidomole.
5. Kilolo.
6. Mafinga,
7. Njombe.
8. shule na vyuo vyote waliopo wameambiwa waende .
9. Tasisi za serikali wamepewa uniform bure na kuambiwa waende.
10. Wafungwa nao hawapo nyuma.

h
Hilo nyomi ata Mimi namashaka nalo sababu tangu Jana sikuona kama kuna shamrashamra za uchaguzi hapo Iringa
 
Mkuu, kile chama cha saccos kishajifia.Hakuna chama hapa Tanzania kinachoweza kuitoa ccm. Walijaribu 2015,wote wakaangukia pua. Leo eti Tundu anajinasibu ushindi atauona kwenye TV tu. Magufuli, tano tena.
Wewe jamaa unatak kumpeleka jiwe mahabusu au tano una maana gani? Lissu kampiga spana za kutosha, jiwe wananchi kama vile hawamwelewi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Lisu mwaka huu ataisababishia chadema kupata ruzuku kidogo sana kwa aaibu ya kushindwa atakayopata
Na ajiandae kutupiwa virago, maana mwenyekiti atadhani jamaa anataka cake yake.
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakuugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.
Huyu ndiye Rais anayesuburi kuapishwa siyo like zwazwa.
 
Tuonyeshe wanaokwenda uchi kwenye mikutano isiyo ya ccm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti watu dizaini yako ndiyo watetezi wa jiwe na ccm, kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza, sasa wewe wamekuajiri kwa kigezo gani jamani? Hata ukiitwa mjinga bado umependelewa,

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
No bana usichanganye mambo sio mkutano wa kampeni hiyo ni CCM fiesta haina tofauti na Fiesta za Prime Time Promotion na Clouds FM ni katika mtindo huohuo

Hata hilo nyomi huwa minafuata Fiesta na sio mkutano wa kampeni
Yaani mnavyoweweseka hadi mnatia huruma .
 
Back
Top Bottom