fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Vip hawa ni wahamiaji haramu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip hawa ni wahamiaji haramu au?
Sijuwi hawa jamaa kusema uwongo uwa wanaona fahari gani ya yana jidanganya yenyewe alafu yana Furahia hawajui wizi una mwisho wakeKumfurahisha bwana mkubwa uwanja ujae! CCM elimu ni Majengo
We kajamaa si ilisema anakikao na wakurugenzi halafu leo tena unakuja na swaga nyingine.Unatambua kwa nini hakwenda mara ya kwanza kwa mujibu wa ratiba. Alitaka hakikisho la kusombewa watu kwa kadiri iwezekanavyo kutoka mikoa jirani. Na hapo kweli mburura wa kijani amewapata, Ila cha kusikitisha hakuna sera wala hoja, yaani ni 'empty & hopeless case" Hata wasikilizaji waliohudhuria wamenuna kama vile wamelambishwa ndimu.
Ebu linganisha tu, na uangalia kule ktk mkutano wa Nyamongo, licha ya watu kupigwa mabomu ya machozi, bado watu wamejaa hamasa, sura zenye bashsha na furaha huku wakimsikiliza kiongozi wao wampendaye.
Magufuli Safi Sana. Huyu jamaa Mungu amtunze. Tumechelewa Sana.Mbele kwa mbele.
MAGUFULI4LIFE.
Lile labda liapishwe Ubelgiji, maana pale Ufipa hapatatosha ha haHuyu ndiye Rais anayesuburi kuapishwa siyo like zwazwa.
Mwitikio upo Sana.Anatumia nguvu kumnadi jeska masikini mbona hamna mwitikio uwanjani
Jenga hoja basi tukujibu.Ushindi uko palepale. Mjiandae kutupiwa virago na boss wenu Dj. Chama maslahi, chama wapigaji a. K.a saccos.
Hahahaha aya hongeraMwitikio upo Sana.
Yohana alitegemea atafanya kampeni kwa gharama nafuu. Mpaka sasa atakuwa keshavuka budget limitation .... Na atakuwa ameshaspend kuliko 2015 by far. Watanzania ndiyo wakati wanajua watapata mavazi ya bure toka kwa watawala!!tofauti ya mikutano ya chama cha Siasa cha CCM na vyama vingine vya siasa ni rangi nguo za wahudhuriaji mkutano. CCM ukitazama picha ni kijani na njano imetamalaki yaani wahudhiriaji karibia wote wamevaa JEZI, kwa maana kwamba wameandaliwa kwa mkutano na kuvishwa nguo!
Machifu walikuja na watu wao wote walionyesha kumuunga mkono muhehe mwenzao Jesca anayegombea ubunge Iringa mjini hawajawahi kanyaga mikutano ya MsigwaWapiga kura ni wananchi wote wa Iringa!So kura yangu moja ni sawa na kura moja ya huyo chief!
Wala hapa hakuna habari!
Miaka 10 msigwa hakuwategemea hao machief kushinda!Machifu walikuja na watu wao wote walionyesha kumuunga mkono muhehe mwenzao Jesca anayegombea ubunge Iringa mjini hawajawahi kanyaga mikutano ya Msigwa