Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa mwaka 1976 kwa sababu leo tuna jambo letu na wasanii hapo Samora na matractor pamoja na malori ya kusomba watu leo yamefanya kazi nzuri sana.
Mliaza toka Jana kujaza mji wa iringa tunaona wageni wengi sana hapa iringa
IMG_20200927_130327.jpeg
 
Wana Iringa leo mnamuona Diamond na wengineo LIVE na bure, waoneni ila kura zenu kwa yuleeeeeeeeeee!
 
Hakuna mwananchi anaetamani kumwona Magu. Nani asiyependa kumwona Konde boy buree! Hiyo ni Fiesta sio mkutano wa kampeni!
You have filled the stadium with students from high schools, colleges, universities, government employees who have been compelled to attend the rally, you have ferried people from rural areas to attend
All the way to icc the hague
 
Kama kawaida CCM haina kufeli acheni wapinzani walielie wakishtuka October 28.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Wana Iringa watu wa Bukoba wameshaonesha njia wale ni maprofesa, kazi kwenu konesha kuwa mmeelimika, kataeni udikteta na uonevu hapo hapo uwanjani.
 
CCM inashinda ushindi wa tano bila,goli la tano la mkono wa Mungu wa Maradona.
Chadema saccos, kitaweza wapi mziki wa ccm. Dah Magufuli kiboko yao, huyu hata akiongezewa mingine 10 itakuwa mwake Sana. Safari hii, ruzuku kiduchu size ya mwenyekiti tu wengine waende kujiuza kwa mabeberu.
 
No bana usichanganye mambo sio mkutano wa kampeni hiyo ni CCM fiesta haina tofauti na Fiesta za Prime Time Promotion na Clouds FM ni katika mtindo huohuo

Hata hilo nyomi huwa minafuata Fiesta na sio mkutano wa kampeni
Ushindi uko palepale. Mjiandae kutupiwa virago na boss wenu Dj. Chama maslahi, chama wapigaji a. K.a saccos.
 
Eti engine mbili,
Majaliwa Angekuwa engine angelazimisha tume kumpitisha bila kupingwa?
Historia yake katika kuamini wizi wa kura iko wazi.
Majaliwa akiwa mwalimu kule Mtwara akiwa msimamizi wa kituo waliahirikiana na Meck sadiq kutorosha masanduku ya kura wakitumia gari muhamed enterprises.
Sifa hii ya wizi wa kura ndio iliyompa ukuu wa wilaya wakati ule wa Kikwete.
Mwambie Mbowe Fj nae apite bila kupingwa. Majaliwa ni mwanasiasa bora zaidi mara 10 ya Mbowe na Lissu..Tano tena.
 
Eti engine mbili,
Majaliwa Angekuwa engine angelazimisha tume kumpitisha bila kupingwa?
Historia yake katika kuamini wizi wa kura iko wazi.
Majaliwa akiwa mwalimu kule Mtwara akiwa msimamizi wa kituo waliahirikiana na Meck sadiq kutorosha masanduku ya kura wakitumia gari muhamed enterprises.
Sifa hii ya wizi wa kura ndio iliyompa ukuu wa wilaya wakati ule wa Kikwete.
Story za vijiwen bhana 😂😂😂😂
 
KANU Walitumia Njia Gani Kukubali Maumivu ya Kushindwa?
CHADEMA hii mdebwedo, ndio unaifananisha na CCM na Kanu?. Oct 28, itakuwa Safi Sana. Saccos lazima itolewe kwenye, ramani ya siasa rasmi na kiti chake kikaliwe na NccR.
 
Nime muona jiwe kajifanya mnyenyekevu leo

SUBIRI KIDOGO
 
tofauti ya mikutano ya chama cha Siasa cha CCM na vyama vingine vya siasa ni rangi nguo za wahudhuriaji mkutano. CCM ukitazama picha ni kijani na njano imetamalaki yaani wahudhiriaji karibia wote wamevaa JEZI, kwa maana kwamba wameandaliwa kwa mkutano na kuvishwa nguo!
Tuonyeshe wanaokwenda uchi kwenye mikutano isiyo ya ccm.
 
Watanzania wanampenda na kumwelewa Sana JPM. Huyu ni bonge la kiongozi, Mzalendo mwenye maono. Mungu mbariki JPM, Mungu ibariki CCM. Magufuli tano tena.
 
Back
Top Bottom