Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Ungejua hao watu wote wamsombelewa huku na kule ungefunga domo..
Mlivyo hamna akili! Watu wenu wanafikaje kwenye mikutano kwa miguu au kwa Gari ? Hivi mtu ataendaje mkutanoni kama haikubali CCM ? Leteni picha kuoneshwa hao watu wamesombwa!
 
You have filled the stadium with students from high schools, colleges, universities, government employees who have been compelled to attend the rally, you have ferried people from rural areas to attend.

All the way to icc the hague
 
Mlivyo hamna akili! Watu wenu wanafikaje kwenye mikutano kwa miguu au kwa Gari ? Hivi mtu ataendaje mkutanoni kama haikubali CCM ? Leteni picha kuoneshwa hao watu wamesombwa!

You have filled the stadium with students from high schools, colleges, universities, government employees who have been compelled to attend the rally, you have ferried people from rural areas to attend.. wapumbavu kabisa nyinyi ccm.
All the way to icc the hague
 
Mlivyo hamna akili! Watu wenu wanafikaje kwenye mikutano kwa miguu au kwa Gari ? Hivi mtu ataendaje mkutanoni kama haikubali CCM ? Leteni picha kuoneshwa hao watu wamesombwa!
Una Ujinga uliopitiliza.

Baki na ujinga wako.
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakurugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.

MAGUFULI: Iringa mwaka huu msiniangushe huwa mnaniumiza sana, Iringa mmechelewa, tunapata shida kupata connection, hakuna connection, ukikosa connection katika maendeleo ya Nchi mmepotea, Ubunge nileteeni Jesca muone yatakayotokea, mnanikatisha tamaa

View attachment 1583628

MAGUFULI: Nakumbuka 2015 yapo ambayo wala hayakuwa kwenye ilani ya Uchaguzi. Ilani haikuagiza kununua Ndege 11 tumenunua, haikuagiza kujenga Bwawa la Nyerere kwa Trilioni 6.5, tumefanya. Ilani haikueleza tujenge Reli ya Standard Gauge kwa Trilioni 7.026, tumejenga.

MAGUFULI: Ilani haikutueleza lazima tukarabati Treni kutoka Dar - Arusha iliyokuwa imesimama kwa miaka zaidi ya 26 ila tumefanya. Ilani ya haikusema tukarabati Meli zaidi ya 5 na kununua nyingine Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa ila tumefanya .

DKT. MAGUFULI: Tunataka kuibadilisha Iringa, naomba mtuamini. Naomba msituangushe kama ambavyo mmezoea kutuangusha. Mambo yaliyofanyika Iringa ni mengi. > Wakati Mimi nasoma tulikuwa tunaenda kusikiliza Mziki kwa Mbata, unatoka Makanyagio hadi pale
View attachment 1583622

Maendeleo hayana chama!
 
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976.

Ni kampeni za kihistoria, karibu.

==========



Updates;

MIGORI, IRINGA

LUKUVI:
Tunaomba kawilaya, utawala ni mgumu sana. Wasiwe wanawafata wakurugenzi, wakuu wa wilaya kilomita 125. Namuombea kura mheshimiwa Magufuli, mtampa? Namuombea kura diwani, mtampa? Mzee Mungu akubariki sana, sisi tunajua unatupenda sana jimbo la Ismani, tunakukaribisha sana.

MAGUFULI: Nileteeni mheshimiwa Lukuvi ili tufanye nae kazi, angalau kama mnanipenda na mimi imebaki miaka yangu mitano, nimalize na Lukuvi. Amefanya kazi zake vizuri sana katika kipindi kilichopita na nimeshangaa kwanini hakupita bila kupingwa kwa sababu siku za nyuma alikuwa anapita bila kupingwa na mimi kule jimboni kwangu nimewahi kupita bila kupingwa. Mtamleta Lukuvi?

Amenisaidia sana katika kazi, amefanya kazi katika wizara ya Ardhi ambayo mimi mwenyewe nimewahi kuwa waziri wa Ardhi. Tukawezesha vijiji 920 katika nchi hii kuvirudisha katika matumizi ya wananchi badala ya kuwa hifadhi za taifa.

Ingawaje nafahamu, shujaa huwa hapendwi kwao. Hata mti wenye matunda ndio unapigwa mawe lakini umuhimu wa Lukuvi mimi nausema kwa wazi, nileteeni Lukuvi, nileteeni na diwani wa CCM. Matunda yake mtayaona, na mimi naomba kura.

SAMORA, IRINGA
POLEPOLE:
Leo hapa Iringa tumekuja na injini mbili za ziada kwa ajili tu ya kuweka mambo sawa. Tuna wana CCM waandamizi, makada waandamizi nitawatambulisha baadae. Sasa wameanza kuweweseka, mahala fulani wanasema, Kassim Majaliwa ni waziri mkuu, kwanini anazunguka?

Nikasema humu tayari, dozi imeingia maana kila anapoenda kuharibu, Rais anamtuma Majaliwa anasafisha. Ndugu Kassim majaliwa ni sehemu ya viongozi wa kitaifa wa chama cha mapinduzi na leo tunayo heshma, tunao wajumbe wengine wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya Taifa ambao wamepewa majukumu mahsusi ya kuzunguka kitaifa kupiga kazi njema ya kutafuta kura.

MAGUFULI: Iringa mwaka huu msiniangushe huwa mnaniumiza sana, Iringa mmechelewa, tunapata shida kupata connection, hakuna connection, ukikosa connection katika maendeleo ya Nchi mmepotea, Ubunge nileteeni Jesca muone yatakayotokea, mnanikatisha tamaa

View attachment 1583628

MAGUFULI: Nakumbuka 2015 yapo ambayo wala hayakuwa kwenye ilani ya Uchaguzi. Ilani haikuagiza kununua Ndege 11 tumenunua, haikuagiza kujenga Bwawa la Nyerere kwa Trilioni 6.5, tumefanya. Ilani haikueleza tujenge Reli ya Standard Gauge kwa Trilioni 7.026, tumejenga.

MAGUFULI: Ilani haikutueleza lazima tukarabati Treni kutoka Dar - Arusha iliyokuwa imesimama kwa miaka zaidi ya 26 ila tumefanya. Ilani ya haikusema tukarabati Meli zaidi ya 5 na kununua nyingine Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa ila tumefanya .

DKT. MAGUFULI: Tunataka kuibadilisha Iringa, naomba mtuamini. Naomba msituangushe kama ambavyo mmezoea kutuangusha. Mambo yaliyofanyika Iringa ni mengi. > Wakati Mimi nasoma tulikuwa tunaenda kusikiliza Mziki kwa Mbata, unatoka Makanyagio hadi pale
View attachment 1583622

Wanaopigia Chapuo USHOGA watakufa kwa Pressure kwa Nyomi hili
 
sisi twakaa hapa Mtwivila.hatujasombwa ndug zangun .msikae kusikiliaza propaganda za mitandaon
 
Back
Top Bottom