Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Samora, Iringa: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli

Jesca Msavandavangu mhehe mzawa wa Iringa aungwa mkono na machifu wa kihehe kuwa mbunge wao

Machifu wanyoosha mikono ju u kuwa watampa kura zao kwenye mkutano Leo wa kampeni Iringa uliofurika mno watu
Hapo machifu wa wapi mbona uchifu ulikufa miaka mingu sana, kuleta uchifu ni hatari kubwa zaidi ya utawala wa majimbo, utawala wa majimbo hauna ukabila wakati chifu ni wa kabila husika.

Hapo kinachoendelea ni kuunga mkono mtu wa kabila letu wahehe! CCM mnapenda sana kutugawa watanzania.
 
Hapo machifu wa wapi mbona uchifu ulikufa miaka mingu sana, kuleta uchifu ni hatari kubwa zaidi ya utawala wa majimbo, utawala wa majimbo hauna ukabila wakati chifu ni wa kabila husika...
Lisu alipisimikwa kuwa chifu wa wasukuma hewa alikuwa analiunganisha taifa la wapi?
Au ulikuwa uchifu kwa Amsterdam?
 
Mwambie Mbowe Fj nae apite bila kupingwa. Majaliwa ni mwanasiasa bora zaidi mara 10 ya Mbowe na Lissu..Tano tena.
Thubutuu,
Akubali kupambanishwa aone kama anatosha.
 
CCM wanapromote wasanii badala ya Sera. Hebu waache kutumia wasanii tuone nguvu yao
 
You have filled the stadium with students from high schools, colleges, universities, government employees who have been compelled to attend the rally, you have ferried people from rural areas to attend
All the way to icc the hague

1601304416529.png


hapo je? jitetee
 
Huyu ndiye Rais wa kwanza kumuona akipiga Kampeni kwenye Red Carpet ......!! Kweli Yohana anajipenda sana!!
 
Sijuwi hawa jamaa kusema uwongo uwa wanaona fahari gani ya yana jidanganya yenyewe alafu yana Furahia hawajui wizi una mwisho wake


hawa jamaa ni kama nchi nzima wameambiwa kusema uongo, unatakiwa kuwazoea ivo ivo , kuanzia lissu mpaka hawa praise and worship ya mbowe wote ni wasema uongo
 
hawa jamaa ni kama nchi nzima wameambiwa kusema uongo, unatakiwa kuwazoea ivo ivo , kuanzia lissu mpaka hawa praise and worship ya mbowe wote ni wasema uongo
Sijawahi waelewa CCM kabisa Rushwa na 10% zime wa pofua macho
 
Bei ya bwawa kaisema na bei ya reli kaisema, ila ya ndege 11?
Paulo tunamuja na Yesu tunamjua wewe ni nani?
 
maeneo yangu hapo samora roundbout ya kushuka ipogolo.ukishuka hapo mlandege.msibgwa hajafanya chcohte kwa miaka mitanoj
 
Back
Top Bottom