CCM ni janga la taifa
Vipi kuhusu hiyo coaster iliyobeba wanafunzi bure hapo Mkwawa?sisi twakaa hapa Mtwivila.hatujasombwa ndug zangun .msikae kusikiliaza propaganda za mitandaon
Itakufa kifo kibaya siku sio nyingi CCM haipo tena kipo kivuli cha ccmccm ipo mpaka 2100, kama unasubiri ccm kuachia madaraka utasubiri sana
Tuzungumze ukweli, what else spoken pale?Hotuba nzima umeondoka na connection tu??
Itakufa kifo kibaya siku sio nyingi CCM haipo tena kipo kivuli cha ccm
Baada ya mungu wa logola kuziiba ole wenuni mwezi ujao, mwezi unaanza ijumaa tuseme ni wiki kadhaa tu mbele ambapo kwa mara ya kwanza cdm inapata kura chache tangia dunia ianze
Baada ya mungu wa logola kuziiba ole wenu
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.Mji wa Iringa ulikua na kiu ya watumbuizaji, wamefika kiu yao bado haijakatika maana muda umekua mchache na wasanii baadha waliohidiwa kufika hawakuperfom au walikua na wagombea wengine...
Aaaaa....Tuzungumze ukweli, what else spoken pale?
Dah yaani mshua hana point kbs, jamaa siyo politician kabisa!
Heheheee wanajitekenya na kucheka wenyewe.Lazima uwe wa kihistoria wasanii 200 si mchezo, kazi na shule vimefungwa ili uwe wa kihistoria.
Hehehee laanaKwa kweli performance iliyofanywa na wasanii Leo ilikua ya kiwango cha chini sana,najutia muda wangu niliopoteza