Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,374
- 2,280
Kwani simu ni hizo mbili tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna iTel mkuu, bonta etcKwani simu ni hizo mbili tu?
Hujui simu wewe....Huawei ni level moja na hizo samsung na iphoneCwezi tumia mchina mkuu haswa Huawei ambao ni cm ya hovyo unanishangaza sana kama nawewe ni mtumiaji wa Huawei!
Continuity Camera ya iphone which allows you to take pictures na kuscan documents using your iPhone's camera, and then view and edit them on your Mac. Hi ni mojawapo ya features nzuri na ya kipekee. Wengine watsiga tu!Huawei huzijui mzee. Nimetumia simu kama Samsung, Huawei, na hizo iPhone. Huwa ni badilisha badilisha.. Kwa mtu anae jua simu hawezi beza Huawei hata kidogo. Labda kwa sasa hivi kwa jairi ya vikwazo
kwakua umeanza na neno "binafsi" nimekuelewa,isingekua kuanza na hilo neno ningekua na insha ya kukupa hapa hadi ungejuta kuikubali hiyo iphone.Binafsi Naikubali sana mnyama iphone ambaye hana mpinzani!
Simu sio camera peke yake. Kama camera S21 ina camera nzuri. Mwisho wa siku tech zipo tofautu, unapima unata niniContinuity Camera ya iphone which allows you to take pictures na kuscan documents using your iPhone's camera, and then view and edit them on your Mac. Hi ni mojawapo ya features nzuri na ya kipekee. Wengine watsiga tu!
Microsoft is helping Google close the gap somewhat with its new Your Phone app for Windows, which allows Android users to respond to texts and notifications on their PCs, though the experience is a little clunky and there is still work to be done.Samsung is Bae..
Hawajui vizuri huawei huyoMkuu ushatumia Huawei kabla Visanga vya USA havijaanza?
Umejileta sasa unataka linganisha picha za iphone na Samsung National AnthemSimu sio camera peke yake. Kama camera S21 ina camera nzuri. Mwisho wa siku tech zipo tofautu, unapima unata nini
Umejileta sasa unataka linganisha picha za iphone na Samsung National Anthem
Basi kama kitu cha kwanza kuangalia kwenye simu kwako ni CAMERA basi hongera MkuuTuanze na camera kwanza ipi ina camera bora kati ya Samsung na iphone be honest!
We utakuwa unaongelea zile huawei za miaka ya 2012/kurudi nyuma...Kipindi hiko huawei ilikuwa kawaida...Saivi huawei ni moto wa kuotea mbali...kwa trend za mauzo zilivyokuwa ilikuwa inaonekana kabisa huawei inakuja kuipiku iphone kwa mauzo.. wamarekani wakaona isiwe kesi wakaipga vikwazo...Sasa jiulize makampuni ya simu china ni mengi, kwann waizuie huawei tu?😂😂 Hi hii Huawei inayocorrupt mafiles! Jamani jamani ndio maana nilisema watu wa infinix na tekno mkae pembeni!
Kwa angle ipi ambayo mnasema hanq mpinzaniUpande wa simu iPhone Hana mpinzani , although Samsung anafight back, brand zingine zinazojarbu kuclose the gape ni Xiaomi , Huawei kaishaaa , labda afufuke sa hv
Ni kweli kabisa bila ban huawei angewatoa sokoni wenzakeWe utakuwa unaongelea zile huawei za miaka ya 2012/kurudi nyuma...Kipindi hiko huawei ilikuwa kawaida...Saivi huawei ni moto wa kuotea mbali...kwa trend za mauzo zilivyokuwa ilikuwa inaonekana kabisa huawei inakuja kuipiku iphone kwa mauzo.. wamarekani wakaona isiwe kesi wakaipga vikwazo...Sasa jiulize makampuni ya simu china ni mengi, kwann waizuie huawei tu?