Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
- Thread starter
-
- #81
Ila kwanini wakenya weongi mbona hawaji kwenye majukwaa mengine kama intelligence, MMU, chit-chat,Elimu n.k
Haha.. wakenya wapo vizuri kiswahili mfano wewe mbona huongea vizuri.Labda kwa hofu ya KISWAHILI, si unajua tena ni KIGUMUUUUUU!..DUH!
Kule kuzuri sana walah! Napatamani hadi kesho.Hahaaa!..husiseme Mkuu!..kumbe kweli mwenyeji, kule kuna jamaa zake Samuel999 kibao.
Yes.Hata hivyo sidhani kua ni hofu kivile, nadhani kua wakenya walio wengi hawajazoea kusoma maandishi ya kiswahili hususan ikiwa unajaribu kuwafahamisha jambo,huwapiga chenga yaani ni rahisi kwao kuielewa mada au jambo likiwa limeandikwa kwa kiingereza.
Hii inatokana na mfumo wa elimu tangia utotoni , yaani kiswahili kinafundisha kama somo tofauti tena kivyake.
Wengi wao hawajihagaishi kuijua lugha .
Haha.. wakenya wapo vizuri kiswahili mfano wewe mbona huongea vizuri.
Ila mnaweza tumia kiingereza pia. Watanzania tunaelewa lugha zote za kimataifa[emoji16][emoji16]
Kule kuzuri sana walah! Napatamani hadi kesho.
Hali ya hewa afu na wakenya watu wazuri sana walikuwa wananipenda sana mimi mbongo.
Na nikienda town wenyewe wanasema taoo,
Fully burudani, nikapendwa na mke wangu akanipa mambo.
Alikuwa ni hatari ananikamata ananikumbatia kwa nguvu utadhani ananidai.
Yule dada nilikuwa namwekea kichwa tu yy ashamaliza.
Nadhani alinipend sanaa adi akawa analia
Dada alikuwa mtamu sana yule ..
Kokote ulipo felister dada wa kikenya.
Poleni
Sema tu ni athari ndogo ndogo za kimatamshi. Wenzetu waganda ndiyo kiswahili kinawasumbua saana.Hapo utakua unatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa Daby,acha nikamuulize Saint Ivuga ikiwa ulisemalo ni kweli.
Yap waganda ni ndugu wa wahaya yaani huwa wanapatana kimatamshi...Sema tu ni athari ndogo ndogo za kimatamshi. Wenzetu waganda ndiyo kiswahili kinawasumbua saana.
Hupati shida kuongea kiswahili mkuu maana unachokiongea huwa nakiweza lakini kipo rasmi sana hivyo,nakitumia kwa kuandikia risala na barua[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hapo utakua unatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa Daby,acha nikamuulize Saint Ivuga ikiwa ulisemalo ni kweli.
Yap waganda ni ndugu wa wahaya yaani huwa wanapatana kimatamshi...
ukienda bukoba unaitwa mnyamahanga kama si kwenu na kama una asili hiyo kama mimi unaitwa omswahili.....lakini waganda nawapenda maana wengi wapo cool tu
Hahaaaa ni nyumbani kulee lakini kwa sasa nipo mwanza.. kumbe unapenda matoke lakini machalii ya chuga zinawashibisha kweli au senene zitakutosha maana ndio ugonjwa wanguKweli wanafanana hadi rangi ya ngozi.
Mkuu upo huko nahitaji matoke bwana