Hapana mkuu. Ndo ukweli wenyewe kwa mujibu wa Truce deal au cease fire ..Naona umeamua kujifurahisha
Anayekiuka israel,kakiuka zaidi ya mara 250,kwa mujibu wa UN,hivi kwa nini mnawatetea na kuegemea kwa wayahudi!?Hapana mkuu. Ndo ukweli wenyewe kwa mujibu wa Truce deal au cease fire ..
Ila majamaa (Hezbollah) kila siku wanakiuka mpango huo na ndo mana wanatwangwa kila siku na Myahudi anajitetea kwamba Hezbollah wamekiuka Mkataba.
mm nilipowaita mizwazwa nilijua nimeingia kwenye kambi y mizwazwa japo kuwashtua mana nayaona mipambio pambio tu wkt wenzao uko Israel wanatafutana kwenye vifusi. Habari kama izo amzipendii mnataka kusikia Gaza watoto wameuwawa 50 IDF jesh kubwa Dunian wanaweza piga Dunia yote mauwongo ndio chakula chenu jana Netanyahu kwamala ya kwanza katoa mlio w vita akilalamika Yemen inataka kuuwa raia w Israel. Nyie ni kusifu tu mipambio kama yote. Wkt Wezenu wamelala kwenye mashimo uko na wengine wapo kwenye kifusi wanatafutana !!!!!!!Huu muandiko wa mhitimu wa Madrasatul
Mkuu samahani, kiwango chako cha elimu dunia ni level ipi?mm nilipowaita mizwazwa nilijua nimeingia kwenye kambi y mizwazwa japo kuwashtua mana nayaona mipambio pambio tu wkt wenzao uko Israel wanatafutana kwenye vifusi. Habari kama izo amzipendii mnataka kusikia Gaza watoto wameuwawa 50 IDF jesh kubwa Dunian wanaweza piga Dunia yote mauwongo ndio chakula chenu jana Netanyahu kwamala ya kwanza katoa mlio w vita akilalamika Yemen inataka kuuwa raia w Israel. Nyie ni kusifu tu mipambio kama yote. Wkt Wezenu wamelala kwenye mashimo uko na wengine wapo kwenye kifusi wanatafutana !!!!!!!
Hatuwatetei wayahudi. Kila Myahudi anapoulizwa sababu ya kufanya shambulio na akitaja kifungu katika Mkataba; sisi nasi tunakitafuta kifungu hicho kwenye Mkataba waliotiliana saini. Tukikuta ni kweli basi hakuna mashaka kwamba aliyekiuka ni Hezbollah.Anayekiuka israel,kakiuka zaidi ya mara 250,kwa mujibu wa UN,hivi kwa nini mnawatetea na kuegemea kwa wayahudi!?
Israel violates cease-fire with Lebanon 6 times on its 23rd day.Hatuwatetei wayahudi. Kila Myahudi anapoulizwa sababu ya kufanya shambulio na akitaja kifungu katika Mkataba; sisi nasi tunakitafuta kifungu hicho kwenye Mkataba waliotiliana saini. Tukikuta ni kweli basi hakuna mashaka kwamba aliyekiuka ni Hezbollah.