Achielogist
Senior Member
- Sep 11, 2024
- 171
- 203
Alafu Lina kuja li kimsboy na huyo bibi wanakwambia Marekani na Uingereza wanaiogopa Houth!!!!FaizaFoxy unaona wenye akili wanavyofanya mambo yao bila kukurupuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu Lina kuja li kimsboy na huyo bibi wanakwambia Marekani na Uingereza wanaiogopa Houth!!!!FaizaFoxy unaona wenye akili wanavyofanya mambo yao bila kukurupuka?
Hawezi kuleta, huyo anaandika kihisia zaidiNaomba link
Alafu Lina kuja li kimsboy na huyo bibi wanakwambia Marekani na Uingereza wanaiogopa Houth!!!!
Siamin kama wanaamini hivyo. Wao huongea kujifari
Tishio kwa Israel ni Iran tuisrael dawa yake ipo inachemka angejua angetafuta amani kwa kuwa the hell is upon him
na anza na israelTishio kwa Israel ni Iran tu
Ila akili za makobaziSiamin kama wanaamini hivyo. Wao huongea kujifariji
Dah! Jibu rahisi kwa swali gumu. Asante broo.Google utakutana navyo mzee
Wanashabikia jambo ambalo ni la hatari kwao wenyewe. Hawajamjua huyo mwamba vizuri. Ngoja liwapate la kuwapata ndo watajua walikuwa hawajui.Houthi wataona moto toka angani na watamalizwa kabisa, ni hatari itakuwa
Mhh! Wanazijua wenyewe.Ila akili za makobazi
Hawa wauothi wakishambulia wao ni halali ila Israel akijibu ni ukiukaji wa haki so difficultJeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.
Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.
Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.
Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.
![]()
Updates: Israeli attacks on Gaza shelters kill 15 people
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Thursday, December 19.aje.io
Huwezi kuomba amani na magaidi. Dawa ni kuwashughulikia tuisrael dawa yake ipo inachemka angejua angetafuta amani kwa kuwa the hell is upon him
Na ndicho anachofanya netanyahuHuwezi kuomba amani na magaidi. Dawa ni kuwashughulikia tu
We unataka mi nikagugo,mikopo,nije nikupestie babu!!?Dah! Jibu rahisi kwa swali gumu. Asante broo.
Hezbollah walishapelekwa uhamishoni kule ng'ambo ya mto Litani.Hawakuoneshi palipopigwa,kule mpakani na Lebanon hizbullah wamepatwanga sana mpaka raia wakahama,ulishawahi ona picha zake
Na mpira 😂😂Miungu yote haijihusishi na baadhi ya ishu za binadamu ikiwemo Vita
Naona umeamua kujifurahishaHezbollah walishapelekwa uhamishoni kule ng'ambo ya mto Litani.