Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

Hujasoma hata physics,kitu chochote kirefu katika ardhi huwa ndio cha kwanza kupokea radi ili kusafirisha postive and negative charge kati ya mawingu na ardhi,kasome static electricity utelewa zaidi.

Hivyo hiyo sanamu ni object ndefu hivyo kupigwa na radi kitu cha kawaida,kumbuka pia huo ni sanamu kama sanamu zingine tu.
 
Mswalieni mtume, bado hajafika anapostahili
Hamna kitu kinacho ni kera kama kuingiza dini zingine kwenye mada zisio husika na dini hiyo, kama wale wameamua kutegeneza sanamu lao na kuliabudu sawa tu akili zao ndo zinaona ni sahihi, hapa major subject ni Radi ya kila mara kupiga hilo sanamu la Mungu wao.
 
Hujasoma hata physics,kitu chochote kirefu katika ardhi huwa ndio cha kwanza kupokea radi ili kusafirisha postive and negative charge kati ya mawingu na ardhi,kasome static electricity utelewa zaidi.

Hivyo hiyo sanamu ni object ndefu hivyo kupigwa na radi kitu cha kawaida,kumbuka pia huo ni sanamu kama sanamu zingine tu.
Zile nyengine huwa zinapiga kikawaida.Hizi za hapa zinapiga kwa hasira kweli na huchagua muda watu wengi waone kama siku zile za kombe la dunia.Jee hupati ujumbe hapa
 
Kwanza waulize wale waliokaa vikao wakachagua eneo la juu sana na wakatumia gharama kubwa kulijenga.Walikusudia kusema nini.
Sanamu halijengwi ili liweke uvunguni bali sehemu ya juu ili linonekane bila kujali athali kuwepo kwake hapo.
Ndiyo maana katika kadhia hiyo yote hawajawai plan kulishusha.
 
Kwa hiyo tuijadili radi kwa nn inapiga pale hasa maeneo ya kichwani? Na kwa nn haipigi miguuni
Huenda walio chonga hilo sanamu la Mungu wao walikua na malengo ya kuzuia radi isifikie watu au msitu huo, na kuchoma, wakaona bora ishuke kwa Mungu wao mwenye mwenye kuleta radi.
 
Na ambavyo huwezi ficha upumbavu wako umeliweka hii andiko hapa kwa kudhani Paul anamdhihaki Mungu.
Ikiwa jambo dogo umeshindwa lielewa uwa mnapata uthubutu wa ku- analaizi trinity[emoji23].
Bakia kwenye njia kuu,hizo radi Kwa mwenye akili timamu inaleta maswali meengi kama mchanga.

Hosea 9:5

Mtafanya Nini katika siku ya mkutano wa idi,na katika siku ya karamu ya bwana?
 
Huenda walio chonga hilo sanamu la Mungu wao walikua na malengo ya kuzuia radi isifikie watu au msutu huo, na kuchoma, wakaona bora ishuke kwa Mungu wao mwenye kuleta radi hiyo
Kwa hiyo radi za brazil
Huenda walio chonga hilo sanamu la Mungu wao walikua na malengo ya kuzuia radi isifikie watu au msitu huo, na kuchoma, wakaona bora ishuke kwa Mungu wao mwenye mwenye kuleta radi.
Unataka tukubaliane kuwa radi ni super natural
 
Sanamu halijengwi ili liweke uvunguni bali sehemu ya juu ili linonekane bila kujali athali kuwepo kwake hapo.
Ndiyo maana katika kadhia hiyo yote hawajawai plan kulishusha.
Sawa .Iwapo hawajali hii fedheha .Sio sisi tu huku hata kule Rio wamejadili sana.
 
hivi hizo "earth rod" huwa wanaweka kila jengo ? Kwa nn watoto wa shule za vijijini hufa na radi madarasani Hakuna "earth rod" ?
Ushawahi sikia radi imepiga mashuleni huko ughaibuni

Naona uvivu kukujibu

Nikiwa Rombo radi ilipiga mti (mweresi) sasa basi nikachukua kipande cha mti nikaweke jikoni nipike chai kumbe kuna aunt aliniona. Alinieleza kuwa ukipikia na radi basi hapo itakuw njia ya radi kila siku

Nilitafakari sana hili, hizi imani za mashuleni mara nyingi ni radi za kutumwa kwa sababu mtu unaweza pigwa radi na hakuna mvua.
Mimi ni muhanga wa radi shuleni niliona red pig head na moto unapita. I am off mood to explain nikumbushe some other times. .
 
Nitakuwa mchoyo kama sikukupa asante kwa kuweka historia yake hapa..

japo sijajua umeandika ukiwa nafsi umeikunjua au vipi maana nikikusoma katikati ya mistari naona kama kuna kuteseka fulani ndani yako.
 
Ukifumba macho ukifumbua Kwa Nini liendelee kupigwa radi?
Ukifumba macho na kufumbua unadhani kwanini Watanzania wenzako hapo Kigoma au Sumbawanga wanapigwa sana na radi?

Hiyo sanamu ipo fut kadhaa juu mlimani wenzetu hao wapo ardhi hii hii tunayokanyaga sisi,nini kimetokea?
 
Back
Top Bottom