BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Kwani huyu YESU uliyemuandika hapa unamfahamu mkuu?????? [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujui ni ujinga wa namna gani ulionao.Bakia kwenye njia kuu,hizo radi Kwa mwenye akili timamu inaleta maswali meengi kama mchanga.
Hosea 9:5
Mtafanya Nini katika siku ya mkutano wa idi,na katika siku ya karamu ya bwana?
Haujui ni ujinga wa namna gani ulionao.
Pole sana.
Kula idi,acha makasirikoHaujui ni ujinga wa namna gani ulionao.
Pole sana.
Zile nyengine huwa zinapiga kikawaida.Hizi za hapa zinapiga kwa hasira kweli na huchagua muda watu wengi waone kama siku zile za kombe la dunia.Jee hupati ujumbe hapa
Utakuwa ulifeli physics tu. Radi inafata the highest point. Sasa kwani hilo sanamu umeambiwa ndio Yesu? Mnafiq mkubwa wewe.Sanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.
Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.
Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.
Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.
Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.
Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,
Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.
Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu
![]()
Lugha in involve kila siku na biblia kila siku zinachapwa ili ziendana na mabadiliko ya lugha ili iwe rahisi kufikisha ujumbe kwa wasomaji. Sijui kwako hiyo verse inatengeneza hisia gani hata ukaamua kuileta hapa kama hoja.Kula idi,acha makasiriko
Hii hapa verse.Kula idi,acha makasiriko
Kwa Nini neno Pasaka walipate?Hii hapa verse.
New international version. :-What will you do on the day of your appointed festivals, on the feast days of the LORD?
Hii kwa New living translation.
New Living Translation
What then will you do on festival days? How will you observe the LORD’s festivals?.
Hii kwa berean:-
Berean Standard Bible
What will you do on the appointed day, on the day of the LORD’s feast
Ni wapi umeona kuna neno iddi?.
Kiswahili asili yake pwani so wachapa biblia katika lugha ya kiswahili wakaamua kubadili neno (festival) na kuweka neno (idd) ili kuweka urahisi kwa msomaji.
Hayo mengine ni ujinga wako.
Uwa mnafikiri kwa kutumia nini hasa?Kwa Nini neno Pasaka walipate?
Neno idi Kwa Nini wakose?
🤷♂️🤷♂️ si kila jengo refu lazima lipigwe na radi piaJengo lolote refu lazima lipigwe radi. Sio supernatural effect na kwanza hili sanamu halina sura ya Yesu ni just nadharia.
Pamoja na kuliwekea vizuizi bado linapigwaRadi inapiga mpaka nyumba unayoishi ndio maana wanawek earth rod
Main purpose ya earth rod si kuzuia radi hiyo ni additional advantage .Radi inapiga mpaka nyumba unayoishi ndio maana wanawek earth rod