Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

Mnazonga bure tu yaan hapa hoja mungu gani aliyekuwa dhaifu kiasi hicho alaluliwe na radi au kuchinjwa na radi hlf Sasa nahis atakuwa amekufa kwahy hii dunia Nan anayeindesha? Dah Kuna vitu ni ujinga au ushamba yaan mtu profesa eti anaenda kwa mungu wake hlf unakuta ni hili sanamu dah inafikisha muda mwingine,yaan hakuna mungu wa namna hiyo anyeruhusu kupigwa na radi hlf viumbe vyake oooh. Hivyo nimejarbu ksaidia alichotaka kusema.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hujasoma hata physics,kitu chochote kirefu katika ardhi huwa ndio cha kwanza kupokea radi ili kusafirisha postive and negative charge kati ya mawingu na ardhi,kasome static electricity utelewa zaidi.

Hivyo hiyo sanamu ni object ndefu hivyo kupigwa na radi kitu cha kawaida,kumbuka pia huo ni sanamu kama sanamu zingine tu.
Kumbe ni kitu sio yesuuu aaagh mbona maajabu sasa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu kinacho ni kera kama kuingiza dini zingine kwenye mada zisio husika na dini hiyo, kama wale wameamua kutegeneza sanamu lao na kuliabudu sawa tu akili zao ndo zinaona ni sahihi, hapa major subject ni Radi ya kila mara kupiga hilo sanamu la Mungu wao.
Mmmh yote sawa tu mkuu Hali ya kuwa ni mwadam au kiumbe huwez ikwepa dini yaan sawasawa upewe gar hlf na manual ya kutumia hiyo gar kutoka kwa mtengenezaji hivyo utalazimika tu kunitumia mfano amekwambia injin weka mafuta unadhan ukiweka maji itakuwaje kwahy hakuna namna ya kukwepa dini ktk maisha yako

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.

Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.

Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.

Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.

Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.

Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,

Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.

Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu

67619375-11743733-image-a-7_1676262417790.jpg
Kutoka 20:4-6 SRUV

Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu

Ni hasira za Mungu hizo liondoeni hilo sanamu
 
Jengo lolote refu lazima lipigwe radi. Sio supernatural effect na kwanza hili sanamu halina sura ya Yesu ni just nadharia.
Lile jengo la dubai lingeshadondoshwa siku nyingi
 
Sanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.

Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.

Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.

Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.

Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.

Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,

Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.

Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu

67619375-11743733-image-a-7_1676262417790.jpg
Sijapata hoja
 
hivi hizo "earth rod" huwa wanaweka kila jengo ? Kwa nn watoto wa shule za vijijini hufa na radi madarasani Hakuna "earth rod" ?
Kila kiumbe hai kitakufa hivyo ulishafika wkt hata uweke Kinga za namna gan huwez zuia mauti hivyo ndo majib mepesi lkn km ulidhan earth rod ndo Kinga ya mauti osha ubongo wako isipokuwa wanadam wamejitahid kufanya asbab kwa kupewa elim na mola ya kupunguza Hilo jambo

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nitakuwa mchoyo kama sikukupa asante kwa kuweka historia yake hapa..

japo sijajua umeandika ukiwa nafsi umeikunjua au vipi maana nikikusoma katikati ya mistari naona kama kuna kuteseka fulani ndani yako.
Lazima ateseke pale jamii inapoangamia kwa kukosa akili mpaka wajenge sanam wakidhan ni mungu nahatmaye kachinjwa je dunia mbona haikubadilka

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom