Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Physics ya wapi uliambiwa kuwa Earthrod inafanya radi isitokee au isipige mahali?Hapo sasa!.Physics haifanyi kazi tena.
Kwa kifupi Mungu wa kweli kaamua kulifanyizia hili sanamu mpaka watalishusha wenyewe.Maana ipo siku radi italipa sura mbaya isiyokusudiwa.
Achana nae hamia kwa mnyaziSio anapigana.Bali anapigwa kila siku mpaka anavunjika kichwa na vidole.Kwa heshima kubwa ya Yesu bora ateremshwe pale.Vyenginevyo waBrazili watamdharau sana.
Sasa kwanini litwangwe lenyewe tu? Kwani ndio kitu pekee kilichokwenda juu zaidi?Physics ya wapi uliambiwa kuwa Earthrod inafanya radi isitokee au isipige mahali?
Kazi ya Earthrod ni kusafirisha umeme wa radi uende ardhini ili usiharibu jengo nk ambazo ni non conductors na sio kuzuia radi isipige
Dunia nzima ni hilo tu lililonyanyuka?Radi hupiga sehemu yoyote iliyonyanyuka hivyo nadhani hilo sanamu linapigwa na radi kwa sababu limeinuka kuliko sehemu nyinginezo katika hayo mazingira.
Ni sababu ya wazi kabisa.
Kama ndio highest point ya eneo husika mara nyingi lazima lipigwe, refer Burj khalifa na Clock tiwer pale mecca, ni structure zinazokumbana sana na radiSasa kwanini litwangwe lenyewe tu? Kwani ndio kitu pekee kilichokwenda juu zaidi?
ni sikukuu inayotokana na kuandama mwezi,sikukuu hiyo kiswahili na kiarabu huitwa idi,wakiristo waarabu huuita idi,bible hubadilishwa maneno na majina kila baada ya muda hasa wakiona yanaleta mushkeli,palikua na kifungi zamani kikisema yesu aliwatawadha miguu wanafunzi,siku hizi kinasema aliwaosha miguu,hiyo Aya ya idi kwenye biblia siku hizi Ina neno lake,palikua na kifungu kinataja swaumu siku hizi kimepewa jina jingine siyo swaumu Tena...ni baada ya mihadhara ya waislam kuwapa tabu,huko nyuma mji wa hijja kwenye bible za kiarabu uliutaja ni bakka,walipoambiwa Hilo,wakabadilisha jina la mji,hii ni 1800s hukoHii hapa verse.
New international version. :-What will you do on the day of your appointed festivals, on the feast days of the LORD?
Hii kwa New living translation.
New Living Translation
What then will you do on festival days? How will you observe the LORD’s festivals?.
Hii kwa berean:-
Berean Standard Bible
What will you do on the appointed day, on the day of the LORD’s feast
Ni wapi umeona kuna neno iddi?.
Kiswahili asili yake pwani so wachapa biblia katika lugha ya kiswahili wakaamua kubadili neno (festival) na kuweka neno (idd) ili kuweka urahisi kwa msomaji.
Hayo mengine ni ujinga wako.
Hahahaha ana agenda ya siriSema unachotaka kusema sasa.
Aah.. Eeeh.. Sawa, Chief!!!ni sikukuu inayotokana na kuandama mwezi,sikukuu hiyo kiswahili na kiarabu huitwa idi,wakiristo waarabu huuita idi,bible hubadilishwa maneno na majina kila baada ya muda hasa wakiona yanaleta mushkeli,palikua na kifungi zamani kikisema yesu aliwatawadha miguu wanafunzi,siku hizi kinasema aliwaosha miguu,hiyo Aya ya idi kwenye biblia siku hizi Ina neno lake,palikua na kifungu kinataja swaumu siku hizi kimepewa jina jingine siyo swaumu Tena...ni baada ya mihadhara ya waislam kuwapa tabu,huko nyuma mji wa hijja kwenye bible za kiarabu uliutaja ni bakka,walipoambiwa Hilo,wakabadilisha jina la mji,hii ni 1800s huko
Ni kawaida kitu kirefu kutangulia kupigwa radi ,, hakuna uhusiano wwte na fikra za kidini hapoSanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.
Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.
Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.
Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.
Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.
Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,
Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.
Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu
![]()
Sasa unafananisha uimara wa jengo la ghorofa na sanamu?Mbona radi zake si kali na bado hizo tower zipo.
Hata yule shoga poti wa Zanzibar naye anaitwa amiMbona radi zake si kali na bado hizo tower zipo.
Ukitaka kujiridhisha utasema hivyo.kwa vile wakatoliki walipenda sanamu hilo likao pale ili kila mmojja aone nguvu ya Yesu.Mambo ya kupigwa na radi hayapendezi kutokea pale.Kwa sababu radi inapunguza thamani ya sanamu hilo. Imani ya kidini inaingia kwa sababu kama kweli sanamu hilo linafana na Yesu na kama Mungu wa kweli ameridhia basi lisingepigwa na radi.Ni kawaida kitu kirefu kutangulia kupigwa radi ,, hakuna uhusiano wwte na fikra za kidini hapo
Mnafanana Sana amiiiHuyo simjui.Naamini hawezi kufanana na mimi.