Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

SANAMU LA YESU
What a dhihaka to Jesus.

Natamani ipige radi na kuusambaratisha huo mlima wote.

Kufuru kubwa sana hii
 
Physics ya wapi uliambiwa kuwa Earthrod inafanya radi isitokee au isipige mahali?

Kazi ya Earthrod ni kusafirisha umeme wa radi uende ardhini ili usiharibu jengo nk ambazo ni non conductors na sio kuzuia radi isipige
Na we umezungumza nn sijui hiyo umeleta ni namna hicho kifaa kinavyofanya kaz lkn ikiwa na lengo isilete madhara kwa juu hapo hamna kusafir inachinja kbs

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Inahitaji elim kubwa kukuelewa ndugu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 

Ami kuna kitu anajaribu kuwakilisha,Takibri🤣🤣🤣🤣
 
Lile jengo la dubai lingeshadondoshwa siku nyingi
Hata lile la Dubai wakiendelea kulitukuza na kultaja sana kuliko jina la Mungu na kuacha uchafu ufanyike humo siku zake haziko mbali.
 
Aaagh ni aibu saana mungu gan huyo aliyeruhisu viumbe vyake vimfanye vile wanavyotaka

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ami huwezi kuwabadili watu wa kuabudu msalaba achana nao tu.Wewe kaabudu nyota na mwezi.
 
Hata lile la Dubai wakiendelea kulitukuza na kultaja sana kuliko jina la Mungu na kuacha uchafu ufanyike humo siku zake haziko mbali.
Mungu yupi sasa Ami?????Mungu wa waarabu na waislamu au Mungu wa wayahudi na wakristo??????Utaenda kilibomoa au utalipiga kombora???
 
yesuni munguuuu aaaa nikwelii? nasema Tena yesuni munguuuuu aaaaaa sio kweliiiiiiiiiiiiiiiiiii.

mungu hafananishwi na sanamu Wala chochoteeeee.

haleluuuuyaaaaaaaa?haleluyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wewe mungu umemuona????Yupoje?????Maana mungu Allah ni bachela na mungu yehovah ana nafsi tatu na mungu krishina ni uzao wa ngombe.Sasa utakosoaje imani za watu wakati mungu hujawahi kumuona mpaka utuambie kua hafananishwi na chochote???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…