Hivi kusema nisingezaliwa ni Laana? , hiyo ni Hali ya kuepuka jambo zito litakalo kutokea.'KAMA ASINGEZALIWA"
maana yake nini Kama sio laana?
kwanini yesu alitamani Yule msaliti wake asingezaliwa wakati inatakiwa yeye asalitiwe ili andiko litimie Ina maana alijisahau?au HAKUPENDA KUFA?
Ina maana Mama yako na baba yako walikosea kukuzaaHivi kusema nisingezaliwa ni Laana? , hiyo ni Hali ya kuepuka jambo zito litakalo kutokea.
Nisingezaliwa ni sawa na kusema Nisingekuwepo.
Hivi ni Bora uzaliwe , alafu ukaishi motoni milele(bila mwisho)Ina maana Mama yako na baba yako walikosea kukuzaa
Wewe unaujua mwisho wako itakuwaje?Hivi ni Bora uzaliwe , alafu ukaishi motoni milele(bila mwisho)
Au ni Bora usizaliwe,
Usijue shida ni nini, njaa ni nini, motoni ni wapi , maumivu ni nini , kiu ni nini?
Sijui.Wewe unaujua mwisho wako itakuwaje?
Kwani si yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako kwanini unaogopa Moto?Sijui.
Na ni Bora nisingezaliwa kama nitaenda kuishi milele motoni.
Mapepo wanayajua mateso ya motoni yapoje
Mathayo 8 : 28 - 29 "
Naye alipofika ng'ambo, katika nchi ya Wagadara, watu wawili wenye pepo walikutana naye, wakitoka makaburini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile.
Na tazama, wakapiga kelele, wakisema, Tuna nini nawe, Mwana wa Mungu? Je! Umekuja kututesa kabla ya wakati wetu? "
Ayubu alipoona anapata mateso makali ya majaribu ya shetani alisema ni Bora asingezaliwa :
Ayubu 3:3 " Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi, Na ule usiku uliosema, Mtoto wa kiume ametungishwa mimba "
Kwani si yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zako kwanini unaogopa Moto?
Babu zako walishauliza muda sana na wakajibiwaMwenyezi Mungu yupi!?
1. Wa wayahudi
2. Wa wakristo
3. Wa waislam
4. Wa wahindu
5. Wa wabudha
6. Wa confuism
7. Wa Taoism
Yupi unayemuongelea anakuja kufufua mifupa iliyooza na mingine decayed, imeliwa na funza!? Na kuwa mbolea.
Muhammad hajui aendapo ( motoni au mbinguni )Kwani ?
Na yuda eskarioti aliyemsaliti YESU mpaka akauliwa na wayahudi anaenda wapi motoni au peponiMuhammad hajui aendapo ( motoni au mbinguni )
Tunajua manabii na mitume wote wa Biblia wako mbinguni ( kasoro Yuda ).
Lakini ni tofauti kwa upande wa mtume Muhammad , yeye ajui atakwenda wapi na waumini wote alionao hajui kama anawapeleka njia gàni.
Quaran 46 : 9 “ ......... and I do not know what shall be done with me or with you."
-Hii ni sawa na mtu kukupeleka njia na sehemu ambayo haijui, na kukuambia mkipotea , usimlaumu.
Uthibitisho wa (mitume / manabii )wa biblia wakiwa mbinguni:
Ibrahimu yuko mbinguni:
Luka 16 :22 SNT "
Hatimaye, yule maskini alikufa. Malaika wakamchukua akakae pamoja na Ibrahimu mbinguni. Yule tajiri naye pia akafa, akazikwa. "
Masiha ndiye mtoa adhabu.Na yuda eskarioti aliyemsaliti YESU mpaka akauliwa na wayahudi anaenda wapi motoni au peponi
Kwani NYIE dhambi zenu hamjasamehewe kumbe?Masiha ndiye mtoa adhabu.
Tusuburi Siku ya mwisho , utajua anaendeleaje huko aliko.
Unaposema 'Scientific process' huo ni mchakato tu wa kisayansi. Sasa jiulize huo mchakato unafanywa na nani? Je wewe unaweza kufanya hiyo scientic process ukatoa mifupa iungane na nyama atoke mtu from nowhere?Kwani mifupa kumbe iliubwa!? Mimi sikujua hilo. Kwa mujibu wa biology mifupa ni scientific process na siyo kuumbwa.
Nani aliiumba mifupa!?
Huu sasa ndio ukafiri wenyewe. Mwenyezi Mungu akuongoe na utubu kabla ya kufa kwako.Siku ya mwisho ni siku yenye utakufa ndugu
Hakuna siku ya mwisho wala moto wa milele
Enzi za Ibrahimu , Musa , Isaka na Yakobo - kondoo alichinjwa kama sadaka na damu ilitumika kama upatanisho wa MUNGU na aliyefanya dhambi.Kwani NYIE dhambi zenu hamjasamehewe kumbe?
Sasa mtu aliyesaidia NYIE kusamehewa atakuwaje na dhambi!?
Hebu tuondolee takataka hapa za imani ya kiislam. Hapa duniani waislamu hawazidi hata 1% ya population.Babu zako walishauliza muda sana na wakajibiwa
Hivi [emoji4]
Surat yasin
وَضَرَبَ لَـنَا مَثَلًا وَّ نَسِىَ خَلۡقَهٗ ؕ قَالَ مَنۡ يُّحۡىِ الۡعِظَامَ وَهِىَ رَمِيۡمٌ ﴿36:78﴾ قُلۡ يُحۡيِيۡهَا الَّذِىۡۤ اَنۡشَاَهَاۤ اَوَّلَ مَرَّةٍ ؕ وَهُوَ بِكُلِّ خَلۡقٍ عَلِيۡمُ ۙ ﴿36:79﴾
36:78 He strikes for Us a similitude and forgot his own creation. He says: “Who will quicken the bones when they have decayed?”
36:79 Say: “He Who first brought them into being will quicken them; He knows well about every kind of creation;
BiologyKwani mifupa kumbe iliubwa!? Mimi sikujua hilo. Kwa mujibu wa biology mifupa ni scientific process na siyo kuumbwa.
Nani aliiumba mifupa!?
Ndiyo kusema uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo?Wacha weee... umekula umeshiba sasa unajamba tu kwa raha zako!
Unavuta pumzi kwa madaha, maskiniii! Mwenyewe huna hata wasiwasi!
View attachment 2052642
Ufunuo 13:2 BHN
Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake kama ya dubu na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu
DANIELI 7
Wanyama wanne wakubwa
1Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa mfalme Belshaza wa Babuloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake. Aliiandika ndoto yake hii:
2“Mimi Danieli niliona katika maono usiku, pepo nne toka pande zote za mbinguni zikiichafua bahari kuu. 3 Wanyama wakubwa wanne, wakainuka kutoka humo baharini, kila mmoja tofauti na mwenzake. 4 Mnyama wa kwanza alikuwa kama simba, na alikuwa na mabawa kama ya tai. Nikiwa namwangalia, mabawa yake yalingolewa, naye akainuliwa na kusimama kwa miguu miwili kama binadamu. Kisha, akapewa akili ya binadamu.
5“Mnyama wa pili alikuwa kama dubu ambaye upande wake mmoja ulikuwa umeinuka. Kinywani mwake alikuwa na mbavu tatu alizozishikilia kwa meno yake. Sauti ikamwambia, ‘Haya, kula nyama nyingi kadiri uwezavyo.’
6“Baada ya hayo, nilimwona mnyama mwingine. Huyu alikuwa kama chui mwenye mabawa manne ya ndege mgongoni mwake. Alikuwa na vichwa vinne na alipewa mamlaka.
7 “Kisha, katika maono yangu hayo ya usiku nikamwona mnyama wa nne wa ajabu na wa kutisha, mwenye nguvu sana. Huyu alikuwa na meno makubwa ya chuma ambayo aliyatumia kula na kuvunjavunja, na mabaki aliyakanyagakanyaga kwa nyayo zake. Alikuwa tofauti na wale wanyama wengine watatu, kwani alikuwa na pembe kumi. 8 Nilipokuwa naziangalia hizo pembe, niliona upembe mwingine mdogo ukiota miongoni mwa zile kumi. Ili kuupa nafasi upembe huu zile pembe nyingine tatu zilingolewa pamoja na mizizi yake. Ulikuwa na macho ya binadamu na kinywa kilichotamka maneno ya kujigamba.
View attachment 2051687
View attachment 2051688
Kuandaa fahamu za walimwengu kumpokea mtawala wao