Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

umeumia sana mdada wa watu kuachana na ukafiri!!
Acha wenge dada hili sio jukwaa la imani na dini kule ndio watu wanabishana kuhusiana na huo ukafiri. Sina huo muda wa kuzungumza kuhusu dini nilichosema ni maoni yangu usitake nifanane na ww kimawazo 😎
 
Huu mwandiko wako ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri nao unaenda anahitaji kuwa na familia.
Hayo manyama hayampendeza tena kadri muda unavyoenda. Ameamua kujisafisha kwa kuingia huko uislamuni labda kuna jicho la kuoa litamuona angalau maana ndoa husitili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…