Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

FALA BABU na BIBI yako Shamba ,kama ni mavazi huyo mgalatia MWENZIO ndy kalepa picha hiyo..alidhani kuleta hapa ndy ataudhalilisha UISLAM,,,kumbe kajidhalilisha mwenyewe na ugalatia wake..huyo SURAIYYA sasa ni MTU mpya, ,hayo mavazi alikuwa akivaa wakati akiwa mgalatia..sasa hutimwona tena na mavazi hayo SURAIYYA now she is changed..PIMBI we..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kubi wewe.
Ukristo unazungumza watu wavae hivyo peleka utahira wako huko kwa wapiga madufu wenzio.

Mavi mavi tu
 
Kilichokuudhi ni maneno ya SURAIYYA. Kuslimu na sio Maneno yangu, ,nime copy Yale aliyosema SURAIYYA... hata hao WAZUNGU wenyewe pia wanachanganya lugha,,nenda kaishi nao utawajuwa.....wacha KURUSHA MAPOVU...kipindi hichi cha corona sio salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi nao huu mwezi wa saba sasa wanazungumza kiingereza tu.

Wanasali kiingereza, wanafanya mazungumzo kiingereza, wanatukana kiingereza, kila kitu kinafanyika kwa kutumia kiingereza.

Unataka kuueleza umma wa JF maneno allah na matakbir hayana kiswahili chake?
 
Shekhe Kipoozeo amesemaje kuhusu hili? [emoji41][emoji41][emoji41]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Wewe upo inchi gani? Tuanze hapo kwnza?
Naishi nao huu mwezi wa saba sasa wanazungumza kiingereza tu.

Wanasali kiingereza, wanafanya mazungumzo kiingereza, wanatukana kiingereza, kila kitu kinafanyika kwa kutumia kiingereza.

Unataka kuueleza umma wa JF maneno allah na matakbir hayana kiswahili chake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU mbona MNARUSHA MAPOVU? mrembo kabadili DINI,,, hajasema kabadilishwa DINI..amesema the RELIGION SHE LOVES...She has been fasting ramadhani since she was not a Muslim...and today she is happiest for her first SHAHADA as a MUSLIM...she is where her spirt truely belongs..MAASHALAH SURAYYA... MSIMVUNJE MOYO MREMBO.......kitendo cha KUSHAHADIA AS MUSLIM,,ni JAMBO KUBWA SANA,,,,hyo akifa Leo ANAKWENDA KAMA MUSLIM....ni WANAWAKE WANGAPI wa KIISLAM walikwenda UPANDE WA PILI SABABU YA NDOA?na huyu kaja UPANDE HUU NI KWA UWEZO WA ALLAH,, MBONA NI KAWAIDA TU? tena ATAWAHAMASISHA WAREMBO WENGI KUHAMIA DINI YA HAKI....basi na huyo hata akidanganywa basi na aachwe MOYO WAKE UNAVYOTAKA,,,iam happy for you SURAIYYA.....ALLAH AKBAR

Sent using Jamii Forums mobile app
Kna mtu anandaliwa ale mtr kiulaini
Kaupandia dau

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom