Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Hao wote ni WASANII..walikuwa kwenye scene ya MOVIE FULANI..kwa siku tofauti tofauti..hawakuwahi kubadili DINI SERIOUS....huyo SURAIYYA IS REALLY MUSLIM NOW..HAKUWAHI KUWA MUIGIZA MOVIE.. ...mimi pia ni MKRISTO MKUU..KANIUDHI SANA,,KUBADILI DINI...hilo ZIGO sitoliona tena KANISANI..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni upumbavu wewe ni mjukuu wa yule jamaa aliyekuwa hajui kusoma.

Sanchi amewahi kuhudhuria ibada kanisa gani?
Na je alienda na mavazi gani?
 
Alhamdulillah. Waislam tunaijuwa faida ya maji kabla ya corona.
Sanitaiza huwa mnatumia?
Vipi na faida ya kuchambia mawe bado mwaijua?

Kwenye kiswahili sijawahi kuliona neno alhamudilal.

Na wengi sasa wataelewa kwanini Uislam umesisitiza watu kutawadha na kwanini hata msikitini Waislam hawaingii bila udhu (kunawa na kujiosha sehemu zote muhimu zinazoweza kugusa kiurahisi) na karibu mtaelewa kwanini huwezi kuingia msikitini na viatu.
Mnatawadha ili kujikinga na magonjwa? Je Koran imeyaainisha hayo magonjwa ni yapi au ya aina gani?

Hilo la viatu sahau, Israel wameshagundua chanjo ya Corona na hata isipofanikiwa, watu hawawezi kuamriwa kutembea peku au kuingia mahala fulani peku.
Biologically tutatengeneza tatizo jingine kubwa sana watu wana mifangasi miguuni, na kunawa hakuondoi fangasi.

Kumfundisha Muislam barakoa (burqa) ni kama upo Coco beach unauliza baharini wapi.
Burqa ndio Barakoa uko sawasawa kweli?

Hili ni vazi la stara ambalo Waislam tunalivaa kwa.miaka mingii tu, halitupi shida. Mpaka, ilifikia kwa kejeli tu, watu kutuuliza tunapumua vipi tukiivaa burqa (barakoa), naona sasa jibu wanalo.
Burqa na Barakoa ni vitu viwili tofauti.
Barakoa zinatumika mahospitalini miaka mingi sana.

Kuna athari za kutumia Barakoa moja kwa muda mrefu kubwa tu kama zile anazozipata mtu anayejifunika kichwa wakati wakulala.
Unaweza kutueleza hiyo burqa moja mnaivaa kwa muda gani kabla hamjavaa nyingine?

Na unafahamu kwanini kuvaa burqa mataifa yenye jangwa kuna faida nyingi kama Yemen, Saudia, Djibouti, Sudan, Qatar n.k kuliko kuvaa burqa San Diego?
 
Huu ni upumbavu wewe ni mjukuu wa yule jamaa aliyekuwa hajui kusoma.

Sanchi amewahi kuhudhuria ibada kanisa gani?
Na je alienda na mavazi gani?
Hapo KANISANI mkuu..kwani hayo mavazi hayana shida KANISANI KWETU..
tapatalk_1588016080234.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada kusema ukweli hapondeki, Surraiya hichi ni kibao chake

 
Sanitaiza huwa mnatumia?
Vipi na faida ya kuchambia mawe bado mwaijua?

Kwenye kiswahili sijawahi kuliona neno alhamudilal.


Mnatawadha ili kujikinga na magonjwa? Je Koran imeyaainisha hayo magonjwa ni yapi au ya aina gani?

Hilo la viatu sahau, Israel wameshagundua chanjo ya Corona na hata isipofanikiwa, watu hawawezi kuamriwa kutembea peku au kuingia mahala fulani peku.
Biologically tutatengeneza tatizo jingine kubwa sana watu wana mifangasi miguuni, na kunawa hakuondoi fangasi.


Burqa ndio Barakoa uko sawasawa kweli?


Burqa na Barakoa ni vitu viwili tofauti.
Barakoa zinatumika mahospitalini miaka mingi sana.

Kuna athari za kutumia Barakoa moja kwa muda mrefu kubwa tu kama zile anazozipata mtu anayejifunika kichwa wakati wakulala.
Unaweza kutueleza hiyo burqa moja mnaivaa kwa muda gani kabla hamjavaa nyingine?

Na unafahamu kwanini kuvaa burqa mataifa yenye jangwa kuna faida nyingi kama Yemen, Saudia, Djibouti, Sudan, Qatar n.k kuliko kuvaa burqa San Diego?
Huwezi kukijuwa Kiswahili kwani huna asili nacho.

Unaona ajabu mawe, huoni ajabu kuwa kama paka kunya mavi kujipaka?

Mwenzenu kaiona Nuru ya Allah nyie mnapata mchechetu (phobia).

Allah amuepushe na hasad zenu na amjaalie azidi kuupenda, kuusoma na kuufata Uislam.
 
Huwezi kukijuwa Kiswahili kwani huna asili nacho.

Unaona ajabu mawe, huoni ajabu kuwa kama paka kunya mavi kujipaka?

Mwenzenu kaiona Nuru ya Allah nyie mnapata mchechetu (phobia).

Allah amuepushe na hasad zenu na amjaalie azidi kuupenda, kuusoma na kuufata Uislam.
Sawa wagawa tiGo
 
Back
Top Bottom