Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Najua pengine unatembea kwa baiskeli wakati mwenzako anatembelea matakle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe pale mawenzi sec ulikua C6 Kama sikosei .au ni majengo sec??
Huu utaratibu wa kuwa kondoo kipindi cha mfungo pekee sijui una manufaa gani?
Kama kweli Habat Soda inatibu Corona watu wa IRAN wasingekufa kama Kuku.AlhamduliLlah tena nakwambia kuna hiyo inaitwa habat souda, unachanganya na asali. Ukishindwa hiyonkukutibu ujuwe wewe ni kifo tu. Maana hiyo haitibu isipokuwa ugonjwa tu, na kifo si ugonjwa ni haki yetu sote.
Katafute habat soda changanya na asali ujikinge na Corona na kama una mgonjwa wako mponeshe kwa kumpa haba soda, anapona.
Madukanyiye ya dawa za kisunna ipo, tena Tanzania unapata ya mbegu kabisa. Bei kama bure tu.
Muone mwenzenu anasemaje kuhusu tiba ya kisunna hii iliyotolewa miaka zaidi ya 1400 iliyopita...
Nikupe namba za Dogo janja,,umuulize?Hapa habari iliyopo ni SURAIYYA...binti SANCHOKAHivi Irene Uwoya bado ni Muislam
Mbona hata akina ANGEL na MERRY huo mchezo pia wanaupenda?Ngoja Ranadhani iishe. Huenda amepata danga la kiarabu
Hahahahahah ajuza bhana daaah wewe Bibi una tabu sana .Uislam uliingia Amerika kabla ya Columbus.
Corona Muislam, mnatawadha sasa hivi mkitaka msitake.
Umekwazika kila mtu na starehe yake
Uislam uliingia Amerika kabla ya Columbus.
Corona Muislam, mnatawadha sasa hivi mkitaka msitake.
Jack wolperHata Jack Wolper alibadili dini [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo tunaimba naye kwaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoamua kuandika kiswahili andika kiswahili tu na unapoamua kuandika arabish andika arabish tuWAKUU mbona MNARUSHA MAPOVU? mrembo kabadili DINI,,, hajasema kabadilishwa DINI..amesema the RELIGION SHE LOVES...She has been fasting ramadhani since she was not a Muslim...and today she is happiest for her first SHAHADA as a MUSLIM...she is where her spirt truely belongs..MAASHALAH SURAYYA... MSIMVUNJE MOYO MREMBO.......kitendo cha KUSHAHADIA AS MUSLIM,,ni JAMBO KUBWA SANA,,,,hyo akifa Leo ANAKWENDA KAMA MUSLIM....ni WANAWAKE WANGAPI wa KIISLAM walikwenda UPANDE WA PILI SABABU YA NDOA?na huyu kaja UPANDE HUU NI KWA UWEZO WA ALLAH,, MBONA NI KAWAIDA TU? tena ATAWAHAMASISHA WAREMBO WENGI KUHAMIA DINI YA HAKI....basi na huyo hata akidanganywa basi na aachwe MOYO WAKE UNAVYOTAKA,,,iam happy for you SURAIYYA.....ALLAH AKBAR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote ni WASANII..walikuwa kwenye scene ya MOVIE FULANI..kwa siku tofauti tofauti..hawakuwahi kubadili DINI SERIOUS....huyo SURAIYYA IS REALLY MUSLIM NOW..HAKUWAHI KUWA MUIGIZA MOVIE.. ...mimi pia ni MKRISTO MKUU..KANIUDHI SANA,,KUBADILI DINI...hilo ZIGO sitoliona tena KANISANI..Jack wolper
Irene uwoya
Aunt Ezekiel
Wote Hawa walibadilj dini Ila wakarudi walikotoka kimya kimya
Sent using Jamii Forums mobile app