Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CORONA BADO NI TATIZO MKUU,BARAKOA NA MAJI TIRIRIKA NI MUHIMU BILA KUSAHAU KUJIFUKIZAAliwahi kuwa Muislam huyo "muddy" wako?
Umekwazika kila mtu na starehe yake
Anawinda wateja kutoka, uarabuniMrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado hajaingia kwenye uislam.
View attachment 1430793View attachment 1430794
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo>>>NdioWe ni limbuken Kama walivyo waafrika walio wengi, kwani kingereza ni lugha yake ya kwanza acha ushamba, ndo maana unaweza ongea broken wenye lugha yao wasikucheke, lakin mswahili wa tandale akakucheka
Hayo marekebisho kayafanyie darasan, hii ni page huru hakuna mtu mwenye akili akawa ana hangaika na vitu vidogo vidogo
Alhamdulillah. Waislam tunaijuwa faida ya maji kabla ya corona.CORONA BADO NI TATIZO MKUU,BARAKOA NA MAJI TIRIRIKA NI MUHIMU BILA KUSAHAU KUJIFUKIZA
Sio kua tumeumia
Atakua ndo kiongozi wao wa masuraiyaKwahiyo nayeye atakuwa kama walemadem zenu wa peponi wenye macho makubwa kama vikombe walioandikwa kwenye qur an?
Sent using COVID-19
Shkamoo....samahani bi faiza Ni nje ya mada kidogo..Alhamdulillah. Waislam tunaijuwa faida ya maji kabla ya corona.
Na wengi sasa wataelewa kwanini Uislam umesisitiza watu kutawadha na kwanini hata msikitini Waislam hawaingii bila udhu (kunawa na kujiosha sehemu zote muhimu zinazoweza kugusa kiurahisi) na karibu mtaelewa kwanini huwezi kuingia msikitini na viatu.
Kumfundisha Muislam barakoa (burqa) ni kama upo Coco beach unauliza baharini wapi.
Hili ni vazi la stara ambalo Waislam tunalivaa kwa.miaka mingii tu, halitupi shida. Mpaka, ilifikia kwa kejeli tu, watu kutuuliza tunapumua vipi tukiivaa burqa (barakoa), naona sasa jibu wanalo.
atakula wapi ndio kazi yake hio, na matako ba mapaja manenen na tumbo flat bila kusahau pussy yake ndio MTAJI amewekeza hivyo anapokea matunda sasaYupo na Mwarabu moja hivi ana biashara zake hapo kariakoo, ngoja atindue mavi akiyachoka atamtimua kama mbwa...
UKWELI 100%KIKI KAMA KIKI ZINGINE, UNAWEZA KUTA KAPATA BWANA HAPO WA KIISLAMU, WAKIACHANA ANARUDI TENA
hehehehee..WAKUU mbona MNARUSHA MAPOVU? mrembo kabadili DINI,,, hajasema kabadilishwa DINI..amesema the RELIGION SHE LOVES...She has been fasting ramadhani since she was not a Muslim...and today she is happiest for her first SHAHADA as a MUSLIM...she is where her spirt truely belongs..MAASHALAH SURAYYA... MSIMVUNJE MOYO MREMBO.......kitendo cha KUSHAHADIA AS MUSLIM,,ni JAMBO KUBWA SANA,,,,hyo akifa Leo ANAKWENDA KAMA MUSLIM....ni WANAWAKE WANGAPI wa KIISLAM walikwenda UPANDE WA PILI SABABU YA NDOA?na huyu kaja UPANDE HUU NI KWA UWEZO WA ALLAH,, MBONA NI KAWAIDA TU? tena ATAWAHAMASISHA WAREMBO WENGI KUHAMIA DINI YA HAKI....basi na huyo hata akidanganywa basi na aachwe MOYO WAKE UNAVYOTAKA,,,iam happy for you SURAIYYA.....ALLAH AKBAR
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sana MKUU,,, MTU kaamua kubadili DINI,,wanatoa MAPOVU... MUNGU amsimamie SURIYYA
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi wewe DINI gani? na umekuwa Chizi kwa muda gn? mwacheni BINTI WA WATU...yeye ameshaona wapi kuna heri KWAKE,, SIKU YA KUFA KILA MTU atakufa PEKE YAKE,,,NA ATAJIBU KWA MADHAMBI YAKE....hakuna wa kumjibia MWENZIO...wacheni KUTOA MAPOVU... watu mmemsema sana anavaa uchi..Mara kwani hana wazazi..Leo KAJISITIRI MNAANZA MAPOVU..
Sent using Jamii Forums mobile app