Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Hivi wewe DINI gani? na umekuwa Chizi kwa muda gn? mwacheni BINTI WA WATU...yeye ameshaona wapi kuna heri KWAKE,, SIKU YA KUFA KILA MTU atakufa PEKE YAKE,,,NA ATAJIBU KWA MADHAMBI YAKE....hakuna wa kumjibia MWENZIO...wacheni KUTOA MAPOVU... watu mmemsema sana anavaa uchi..Mara kwani hana wazazi..Leo KAJISITIRI MNAANZA MAPOVU..

Sent using Jamii Forums mobile app


Chizi ni mwafrika anayefuata dini zilizotungwa na watu bila kujuwa ukweli.
 
Back
Top Bottom