Kuna MUARABU kashafika bei ale MTARO kwa nafasi.
Kwani alikua ni Mkristo?Wanachezea tu dini hawa kesho kutwa arushe makalio hewani na vichupi kesho kutwa anarudi kuwa mkristo tenaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe DINI gani? na umekuwa Chizi kwa muda gn? mwacheni BINTI WA WATU...yeye ameshaona wapi kuna heri KWAKE,, SIKU YA KUFA KILA MTU atakufa PEKE YAKE,,,NA ATAJIBU KWA MADHAMBI YAKE....hakuna wa kumjibia MWENZIO...wacheni KUTOA MAPOVU... watu mmemsema sana anavaa uchi..Mara kwani hana wazazi..Leo KAJISITIRI MNAANZA MAPOVU..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawa maji kwa mikono tiririka, usisahau kupaka Sani TaizaNipo lockdown mzee.. 😷😷
Matako ndio habari ya mjini yakheeeee,ni kama habari covid-19 zinavyo-trend.Mbona account yake bado ina picha za Matako
Yote sawa mungu amuongoze ila mwisho wa yote ngoja tuone ...
Kuna mnunuzi kafika bei mpka danga limeslimMrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado hajaingia kwenye uislam.
View attachment 1430793View attachment 1430794
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza wewe umekuwa Chizi kwa muda gn?Chizi ni mwafrika anayefuata dini zilizotungwa na watu bila kujuwa ukweli.
DuhhhhYupo na Mwarabu moja hivi ana biashara zake hapo kariakoo, ngoja atindue mavi akiyachoka atamtimua kama mbwa...
We jamaa hii ID yako inachekesha kuliko drama za hawa celebrities😀😆😀naona uzi ushakuwa wa kidini tayari.
Write your reply...huyu mtoto balaa
Kwani alikua ni Mkristo?
Isije ikawa wazazi wake ndiyo walikua wakristo mkamjumuisha na yeye. Labda alipokua aliamua kufuata na kuuishi mfumo mwingine tofauti na ukristo!
We ni limbuken Kama walivyo waafrika walio wengi, kwani kingereza ni lugha yake ya kwanza acha ushamba, ndo maana unaweza ongea broken wenye lugha yao wasikucheke, lakin mswahili wa tandale akakuchekaunazungumzia mtu mmoja halafu unamuita classmates , mlisoma nae utopolo sekondari ?
Sent using Jamii Forums mobile app