Salaam, shalom!
Kwa kuwa kura halali zilitiwa ndani ya Sanduku la kura zikichangamana na kura fake tena chini ya usimamizi wa waandalizi wa uchaguzi wenyewe kama asemavyo Judge Warioba, zoezi Zima linageuka kuwa haramu.
Tunaweza kujisahihisha Kwa kufuta huu uchafuzi na kurudisha Sanduku la kura mahala pake Ili kuwachagua na kuwakataa viongozi tutakavyo Kwa HAKI na uwazi kabisa. Kwamba 2025 tukachagua viongozi wa mitaa Oct 27, October 28, tukachagua diwani, Mbunge na Ile ya juu Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
"Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote ni sasa."
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen
Kwa kuwa kura halali zilitiwa ndani ya Sanduku la kura zikichangamana na kura fake tena chini ya usimamizi wa waandalizi wa uchaguzi wenyewe kama asemavyo Judge Warioba, zoezi Zima linageuka kuwa haramu.
Tunaweza kujisahihisha Kwa kufuta huu uchafuzi na kurudisha Sanduku la kura mahala pake Ili kuwachagua na kuwakataa viongozi tutakavyo Kwa HAKI na uwazi kabisa. Kwamba 2025 tukachagua viongozi wa mitaa Oct 27, October 28, tukachagua diwani, Mbunge na Ile ya juu Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
"Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote ni sasa."
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Amen