Embu tupe data kidogo Mkuu...sijui km namfaham sana so far as navyojua ni mwanamama aggressive aliyetumia kalamu yake vizuri kuiibia serikali!...sina hakika na kumbu kumbu zangu!
Duh Mwizi wa mali ya umma anapewa 'kudos' kaaazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu tupe data kidogo Mkuu...sijui km namfaham sana so far as navyojua ni mwanamama aggressive aliyetumia kalamu yake vizuri kuiibia serikali!...sina hakika na kumbu kumbu zangu!
Hivi huyu mwanamama alimaliza kifungo chake? Mnakumbuka kosa lake na jinsi ambavyo kesi yake ilikuwa ni kama simulizi la kutosadikika.. Hivi akisikia yanayofanyika hivi sasa huko aliko si anaona aliwahi kidogo tu..
aMEAMUA KUWA MTANZANIA HALISI KABISA... HUWA HATUTUNZI KUMBUKUMBU ZAIDI YA ZILE KIBABA-BAA SHULE NA KULEWA SANA, KUIBIWA AU KUIBA:twitch:kama huna kumbukumbu ya zamaniiiiii basi una matatizo.. au mwenzetu umefuta kumbukumbu yako yote unaishi katika sasa tu?
was late 1980's or early 1990's........FRONT PAGE kwenye gaeti la MFANYAKAZI
Hii thread itatuonyesha under ages ni akina nani humu JF
Ninachokumbuka ni kuwa huyu Mama alikuwapua dola za marekani nyingi sana akataka kutoroka nazo nje ya nchi ila kabla hajafanikiwa dili likafumuka wakawa wanafukuzwa mpaka walipo kamatwa na hela mkononi. Nakumbuka kuna wakati yaliwahi toka mashati ya ujiuji (Kitambaa kama cha magauni ya CHARANGA kwa wanaoyakumbuka) yenye picha za dola za marekani tukawa tunayaita SIMBAULANGA.
Kweli kabisa mwanakijiji huyu mama aliwahi, maana enzi zile wizi ulikuwa haulindwi wala kusukiwa mikakati IKULU kama ilivyo sasa ambapo angechukua kiualaini na kuzikuta nje zinamsubiri badala ya kukimbia na bulungutu.
Nakumbuka kuwa yeye na hawara yake walinunua Min Bus za kutosha kwa ajili ya biashara ya Tours vikataifishwa. Miaka hiyo kulikuwa na waendesha mashtaka na mahakimu. siku hizi sina uhakika
Hii thread itatuonyesha under ages ni akina nani humu JF
Namjua vizuri sana mama Sarah Martin Simbaulanga ni mlokole na ni mlalahoi anaonekana maeneo ya Mwenge mar chache chache. Anajutia sana kitendo alichofanya wakati ule,Mwenyewe anasema haukuwa utashi wake bali aliponzwa na mpenzie Toroha Mohamed Toroha.Amemrudia Mungu na anaendelea kuishi kwa amani tu.
Hii thread itatuonyesha under ages ni akina nani humu JF
Nakumbuka kuwa yeye na hawara yake walinunua Min Bus za kutosha kwa ajili ya biashara ya Tours vikataifishwa. Miaka hiyo kulikuwa na waendesha mashtaka na mahakimu........siku hizi sina uhakika
Mkuu itakuwa inamuuma sana na hasa haka kamethali. Mkuki wa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu!:coffee:Hivi huyu mwanamama alimaliza kifungo chake? Mnakumbuka kosa lake na jinsi ambavyo kesi yake ilikuwa ni kama simulizi la kutosadikika.. Hivi akisikia yanayofanyika hivi sasa huko aliko si anaona aliwahi kidogo tu..