Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nakumbuka kesi ya Maumba yalitajwa mafuta fulani ya mgando aliyokuwa anatumia kwenye shughuli yake, basi yale mafuta ukinunuliwa nyumbani kwenda nayo boarding skuli unaona noma kishenzi!-yale mafuta kama kuna mtu anayakumbuka tafadhali
Yolanda au Ayu??