Tanga mmetusahau, tuyapate wapi? please
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
hatutaki takataka kama nyie........Nitaanza harakati za kukipigania chama pindi tu ntakapoona mwenyekiti wa chama sio Mbowe!, Kwa sasa lolote liwakute maana kunakaubabaisha na udanganyifu mkubwa.
Tumaini lako lipo kwa mumeoTumaini letu pekee ni Chadema tu!
Wewe mpuuzi unayelishwa na mbowe una kipi Cha maana!, Maandamano yangekuwa na mvuto Kama yangeongozwa na mpambanaji wa kweli wa chama (Tundu Lissu) amabaye hana ndimi mbili wala ujinga kama wa mbowe.hatutaki takataka kama nyie........
Noma sana 🫶🤝👏✌️😁😁Tumaini letu pekee ni Chadema tu!
Mpuuzi ni wewe unayemtukana mbowe wakati ni baba yako, unamjua baba yako wewe? Nakupa tarifa mheshimu Mbowe ni baba yako!Wewe mpuuzi unayelishwa na mbowe una kipi Cha maana!, Maandamano yangekuwa na mvuto Kama yangeongozwa na mpambanaji wa kweli wa chama (Tundu Lissu) amabaye hana ndimi mbili wala ujinga kama wa mbowe.
Unakataa kufanya maandamano kwwajili ya kuuzwa kwa Bandari afu uje umpeleke nani akaandamane jwa upuuzi wa mbowe.
Kwa hiyo Mbowe au God bless Lema amebuni namna ya ku dispose mzigo wa magwanda ya Khaki.
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
Hakuna sisimizi au pimbi yeyote wa CHADEMA atakayeandamana. Hawa wanafanya trending tu kwenye social media. Waoga hawana mfanoHistoria kuandikwa tarehe ya 24 January 2024 nchi nzima kuitikia wito kuandamana kwa amani ili kuitia mbinyo (pressure) serikali ya CCM na bunge lake kusikiliza maoni ya kutakiwa kuitupilia mbali miswada mibovu ovu dhidi ya uhuru na demokrasia.
Ila wewe mjinga sana, wanaogombea magwanda ya kaki wako wapi? Jinga sana hili nyumbu.
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
kwahiyo chadema mna joto la mimba au mp🐒Hutaki unaacha , siku zote CHADEMA inauza
Noma sana !
A wapiMaduka yanayouza vifaa vya Chadema yanafahamika nchi nzima
KumekuchaMaandalizi yazidi kupamba moto nchi nzima
18 January 2024
Arusha, Tanzania
Viongozi wa CHADEMA watamatwa na kuachiwa kisa matayarisho ya maandamano.
Viongozi wa CHADEMA kanda ya kaskazini watoa tamko
View: https://m.youtube.com/watch?v=Nq_tZAlerBwMwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Arusha kamanda Elisa Mungure amezungumza na waandishi wa Habari ...
Macho unayo ?Ila wewe mjinga sana, wanaogombea magwanda ya kaki wako wapi? Jinga sana hili nyumbu.
Nenda ofisi yoyote ya Chadema utaelekezwa , kama Uko Dar Maduka yote ya nguo Mwenge na Kariakoo unapata , uliza sare za Chadema na hata maduka ya Wachina
Safi kabisaa naona wako kwenye mkeka wa rami ambao ni zao zurii la utekerezaji wa irani ya CCM. Kidumu chama cha mapinduziii
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali