Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Safi kabisaa naona wako kwenye mkeka wa rami ambao ni zao zurii la utekerezaji wa irani ya CCM. Kidumu chama cha mapinduzii
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
Tunaposema kuwa cdm ni mpango wa Mungu wawe wanatuelewa.
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
AminaTumaini letu pekee ni Chadema tu!
Atajua nani sasa?Aisee[emoji1787]
Unajua kwa nini nimecheka?
Ccm watayapiga marufukuKuna ugumu gani kuzizalisha nchini hayo magwanda ya khaki ili kuwa raisi kila mtu kupata kwa bei nafuu?
AminaChadema ndio Tanzania tuitanakayo
Washashikwa na MHAOCCM lazima wajinyee
Una akili za kijinga sana.Mitaa gani hiyo. Acheni ujinga wenu. Tuonane siku maalum ya usafi
Basi mko na hali mbaya sana.Tumaini letu pekee ni Chadema tu!
Nakuona upo kaziniTakataka
Wewe na Basha wakoWewe na mume wako?
Wakati huo huna uhakika wa kupata angalau milo 2 kwa sikuHii nchi ina vituko sana hayo mambo yenu mmngeenda kuyafanyia huko rombo huku mjini tuna kazi ya kusafisha mji
Kwa akili zako wewe kwenu itakuwa ni KibaigwaMaduka ya wapi mbona huku kitu hicho hakipo. Au sasa mmeongezea uongo kwenye lugha zenu za matusi.
Tutakuwa woteHistoria kuandikwa tarehe ya 24 January 2024 nchi nzima kuitikia wito kuandamana kwa amani ili kuitia mbinyo (pressure) serikali ya CCM na bunge lake kusikiliza maoni ya kutakiwa kuitupilia mbali miswada mibovu ovu dhidi ya uhuru na demokrasia.
Hivi uliwahi kuona uzi wa mwashambwa ulio na ushahidi picha au video ? sijui mnanilinganishaje na watu duni kama hao yaani !Tofauti ya Erythrocyte na Lucas mwashambwa ni kuwa mmoja ni mwana chadema huku mwenzie akiwa mwana ccm. Nyote ni wazee wa propaganda kama Chemical Ally
🤣🤣🤣🤣
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali