MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Huu uzi uende sambamba na Jeshi la uhamiaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mama sikumbuki alikuwa anaitwa Okello nadhani Linda Okello. ALisababisha kelele mitandanoani hadi akaenda chuo kikuu kusomea sheria. Nasikia siku hizi ni mwana sheria
Kwa muonekano Wao huu wakikusimamisha tu lazima Gari lenyewe liharibike.Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.
View attachment 2228307
View attachment 2228308
Kelele kwasababu gani mkuu?Huyo mama sikumbuki alikuwa anaitwa Okello nadhani Linda Okello. ALisababisha kelele mitandanoani hadi akaenda chuo kikuu kusomea sheria. Nasikia siku hizi ni mwana sheria
...................... hiyo tight skirt yake iliyoonyesha umbo lake kikamilfu. Wanaume wengi vijeba wakawa busy kutafuta contacts zake.Kelele kwasababu gani mkuu?
Na Kenya hizi shape hazipatikani kabisa...................... hiyo tight skirt yake iliyoonyesha umbo lake kikamilfu. Wanaume wengi vijeba wakawa busy kutafuta contacts zake.