Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Mostly have big booty, i wonder why they dont wear trousers to show us Motorists how God blessed them
 
Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.

View attachment 2228307

View attachment 2228308
Kabisa mara ya kwa kufika Kampala nilicheka sana huyu designer haendi peponi.
 
Kaa,be!!!,Wee jamaa muongo sana,hio sio kweli nimekwenda Uganda karibia mara sita mfululizo na mara km tatu nilikutana na Museveni akiwa amevaa vizuri tu.
Samahani sana mkuu Nilikua nadanganya.Jamaa hua anavaa nguo za kutosha kabisa.
Screenshot_20220518-080904.jpg
Screenshot_20220518-081138.jpg
Screenshot_20220518-081230~2.jpg
 
Kwahiyo unapenda zile zinazoonyesha geographia za miili yao? Hiyo ndiyo sare ya heshima
 
Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia
Vazi ni vazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.

View attachment 2228307

View attachment 2228308
Du...utafikiri wahudumu wa mortuary!
 
Back
Top Bottom