Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Wanaonekana kama wacheza ngoma wa kingoni
 
Kuna uwezekano mkubwa sana uzi huu umeanzishwa na baadhi ya watu wa Wakenya ilikuchafua taswira ya watanzania dhidi ya waganda kuwa tuna tumia mitandao yetu kuwakejeli. Lengo lao kutugombanisha biashara yetu ya bomba la mafuta likwame. Na baadhi ya wenzetu humu nchini wanaunga tera bila kujua uzandiki huu.
kwa akili za kipopoma hapo unajiona una intelijensia.
 
Kwanini unataka avutie? Kwani anajiuza?
 
Back
Top Bottom