Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa akili za kipopoma hapo unajiona una intelijensia.Kuna uwezekano mkubwa sana uzi huu umeanzishwa na baadhi ya watu wa Wakenya ilikuchafua taswira ya watanzania dhidi ya waganda kuwa tuna tumia mitandao yetu kuwakejeli. Lengo lao kutugombanisha biashara yetu ya bomba la mafuta likwame. Na baadhi ya wenzetu humu nchini wanaunga tera bila kujua uzandiki huu.
Habari za asubuhi. Unajisikiaje kwa maumivu ya tumbo!? Pole utapona.kwa akili za kipopoma hapo unajiona una intelijensia.
Kama walinzi wa SGA [emoji16]Kwa jirani nimempiga hapa naivashaView attachment 2228334
Zinabadika na kuwa cream iliyochoka🤣🤣🤣Hujaona ya Magereza iliyopauka hapa bongo wewe.
Uongo Mwingine bana ni muda sasa Tz police wanawake hawavai sket ni suruali tu hizo paja zote nje unaonaje?Angalau zinawasitiri sio kama za hawa wetu mipaja nje na zakubana sana.
Umcheke? Kwa jinsi alivyo serious?! Unakula makofi mawili matatu kabla ya kuulizwa leseni ya gari!Wenyewe wamezowea hawawezi kucheka
Equatorsijui kwa nini waganda wengi ni weusi tii
Hahahha, madhara ya ubongo wa nyuma na porn sitesSasa pale zinavyobanwa sizipo nje tu mzee
Hizo ndo nzuriAngalau zinawasitiri sio kama za hawa wetu mipaja nje na zakubana sana.
Magereza wanadharaurika sanaHujaona ya Magereza iliyopauka hapa bongo wewe.
UnisexHiyo picha ya 2,Jinsia gani?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.
View attachment 2228307
View attachment 2228308
Hawa wenye manguo ya bluu ni mapoti?