Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Kuna uwezekano mkubwa sana uzi huu umeanzishwa na baadhi ya watu wa Wakenya ilikuchafua taswira ya watanzania dhidi ya waganda kuwa tuna tumia mitandao yetu kuwakejeli. Lengo lao kutugombanisha biashara yetu ya bomba la mafuta likwame. Na baadhi ya wenzetu humu nchini wanaunga tera bila kujua uzandiki huu.
 
Kwenye pita pita zangu hapa Entebbe ninekuwa nikichoshwa na hizi sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.

View attachment 2228307

View attachment 2228308
Ni kweli mkuu ni za ajabu lakini na ubaya unachangia mkuu 🤣 🤣 🤣
 
Eee Mungu nifundishe kunyamaza[emoji2960][emoji2960][emoji16]
Wakenya hawa wameisha wavuruga watanzania wenzetu kibaya watanzania hao wanajishebedua na kuvurugwa kwao!!!! Wamenikasirisha!
 
Kule Mozambique afadhali Mgambo wa Bongo.
🤣🤣🤣🤣

images (8).jpeg
 
Back
Top Bottom