Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

Kwa muonekano Wao huu wakikusimamisha tu lazima Gari lenyewe liharibike.
 
Huyo mama sikumbuki alikuwa anaitwa Okello nadhani Linda Okello. ALisababisha kelele mitandanoani hadi akaenda chuo kikuu kusomea sheria. Nasikia siku hizi ni mwana sheria
Kelele kwasababu gani mkuu?
 
...................... hiyo tight skirt yake iliyoonyesha umbo lake kikamilfu. Wanaume wengi vijeba wakawa busy kutafuta contacts zake.
Na Kenya hizi shape hazipatikani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…