Sasa barabara ya Lusahunga – Rusumo yenye urefu wa kilomita 92, kujengwa kwa Bilioni 153

Sasa barabara ya Lusahunga – Rusumo yenye urefu wa kilomita 92, kujengwa kwa Bilioni 153

Sawa na kilomita 153 ,billion Moja hujenga kilomita Moja ya Barabara kiwango Cha Lami
Ile barabara inabeba mzigo mzito sana, ubora wake lazima uwe mara mbili, sijui kama inapita dakika 5 Lori iliyokula mzigo haijapita barabara ile, lazima ichimbuliwe kuondoa tabaka la tope chini ambalo linafanya lami kutitia
 
Sawa na kilomita 153 ,billion Moja hujenga kilomita Moja ya Barabara kiwango Cha Lami

Madaraja madogo na makubwa idadi yake, upatikanaji wa material za kazi dunia imebadilika bei haiwezi kua hiyo hiyo miaka yote na zaidi kiwango cha barabara inatakiwa isiwe cha kitoto
 
Wangempa barabara hiyo Strabag ingekua barabara bora na yakudumu miaka mingi sana
 
Waweke pia mizani za kutosha magari ya Burundi na Rwanda wao wanapakia mizigo ya kuzidi kulingana na barabara zao. Walime kuipunguza makali na kuitanua ile down ya machinjioni pale kuelekea Rusumo.
 
Waweke pia mizani za kutosha magari ya Burundi na Rwanda wao wanapakia mizigo ya kuzidi kulingana na barabara zao. Walime kuipunguza makali na kuitanua ile down ya machinjioni pale kuelekea Rusumo.

Mizaani ile ya nyakanazi ianze kufanya kazi na imaliziwe, halafu mbele ya nyakahura hasa mitaa ya pale zerozero pawekwe muuzani mkubwa maana jamaa wanapakia hata tani 40 au 45 wao ni kawaida
 
Mizaani ile ya nyakanazi ianze kufanya kazi na imaliziwe, halafu mbele ya nyakahura hasa mitaa ya pale zerozero pawekwe muuzani mkubwa maana jamaa wanapakia hata tani 40 au 45 wao ni kawaida
Ni hatari. Mashine za Rwanda zile Actross Benz naonaga pale boda Rusumo sio nundu zile zinakula. Waandae mfumo mzuri wa ku regulate barabara la sivyo watakiwa wanaikarabati kila uchao kama ilivyo sasa hivi.
 
Serikali ya Marekani huwa inaitwa like Biden Administration, Trump administration nk nk. So sio Tanzania tu mkuu
Ina maana haujaele alichomaanisha au unajitoa ufahamu.
Yaani Mbarawa ameeleza kana kwamba ni personal project ya Samia.
 
Kwa muono wangu bora wangejenga yote kwanza ya Mbeya Hadi Tunduma
Serikali Huwa haifanyi hivyo,Kipande Cha Songwe Tunduma kitakuwa Cha mwisho Kwa sababu kilikarabatiwa kipindi Cha Mkapa so Bado Ina uhai licha ya kuwa ni nyembamba
 
Sawa na kilomita 153 ,billion Moja hujenga kilomita Moja ya Barabara kiwango Cha Lami
Hiyo ni asphalt concrete km Moja Kwa bei za Sasa ni Kati ya 1.8bln Hadi 2.2bln kutegemeana na design ya pavement,terrain na drainage structures.
 
Sema hii barabara haona kazi kubwa. Sababu ilishajengwa kwa kiwango cha lami. Lami ikazeheka. Miamba ilishapasuliwa, madaraja yapo. Yeye ayakwangua lami iliyo zeheka labda na layer mbili tatu
Kakwambia nani? Rehabilitation Huwa ni costful kuliko Hata upgrading
 
Inategemeana na mazingira, upatikanaji ya vifaa, bei ya kununua material za ujenzi, kuwepo kwa madaraja makubwa na madogo.
1 bilioni ni maximum price ya ujenzi wa kilomita moja ya lami.

Jambo la pili, hiyo barabara haina complications hizo ulizotaja, daraja ni moja tu la Rusumo ambalo halihitaji kujengwa tena
 
Nadhani vifaa ndo ishu. Hakuna Kiqanda cha nondo wala Sementi. Sema kokoto na mchaga vipo vya kutosha. Tatizo ni chuma na lami yenyewe.
Na Sasa gharama za vifaa vya ujenzi viko Juu sana..

Pia standards ya Sasa ni ya Juu kuliko awali kuanzia upana,unene wa layers na pia inakwenda na components zingine kama service lanes maeneo ya Miji ,Taa za barabarani na CSR lazima.
 
Uamuzi muhimu sana, JPM kwa chuki yake kwa kagera alikuwa anauchelewesha.

Katika boda ambazo ziko bize sana ni za Kabanga na Rusumo, Lori zinazopita pale ni nyingi sana
Mradi mwingine huu hapa huko Kagera
Screenshot_20230219-112226.jpg
 
Back
Top Bottom