Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Hii michezo hasa mpira wa miguu ilijaa ubabe sana. muda wowote ungeweza kutokea ugomvi mkubwa na mechi ikaishia hapohapo. baadhi ya marefa waliishia kukimbizwa kama wezi au hata kupata kichapo cha mbwa mwizi😆
kwa sababu hii baadhi yao walijihami kwa kuning'iniza silaha kama vile kisu kwenye upaja wakati anachezesha pale uwanjani. hii ilimjengea heshima refa huyu kwa wale wachezaji maana wanajua jamaa ana "moto"
na hii ilikuwa hata kwenye hii michezo ya ligi kuu mambo yalikuwa ivoivo. mambo yangeweza kubadilika muda wowote na mechi ikaishia hapo. refa akizingua anakula kichapo mechi inaishia hapo au anatafutwa refa mwingine mechi inaendelea kupigwa na wachezaji nao ni ivoivo wakizinguana zinachapwa mechi inaishia hapo.
sasa mambo yamebadilika sana.
kwa sababu hii baadhi yao walijihami kwa kuning'iniza silaha kama vile kisu kwenye upaja wakati anachezesha pale uwanjani. hii ilimjengea heshima refa huyu kwa wale wachezaji maana wanajua jamaa ana "moto"
na hii ilikuwa hata kwenye hii michezo ya ligi kuu mambo yalikuwa ivoivo. mambo yangeweza kubadilika muda wowote na mechi ikaishia hapo. refa akizingua anakula kichapo mechi inaishia hapo au anatafutwa refa mwingine mechi inaendelea kupigwa na wachezaji nao ni ivoivo wakizinguana zinachapwa mechi inaishia hapo.
sasa mambo yamebadilika sana.