Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
That is redflag. i think mostly of comments are Tanzanians but not real.Watch your steps, why asians only.
Mbona habari imekaa kitapeli tapeli
Mbona habari imekaa kitapeli tapeli
Hapa kila mtu ajisomee kujiridhisha:Tuwekee link ya hiyi article au video clip.
Tusiingizane mkenge kimaataifa 👆🏾👆🏾🙏🏿
Tuwekee link ya hiyi article au video clip.
Tusiingizane mkenge kimaataifa 👆🏾👆🏾🙏🏿
Ningevuta mpunga chap chapHuyu dogo atakufa masikini na ajira za TAMISEMI unakataaje dola milioni 15 tena za mmarekani? Mwisho wa siku watanunua product yake kwa laki 6 wataenda kuifanyia analysis kisha wanadaka formula. Hao wazalendo wanampotosha
Huyo mleta mada ni bora awe anajithibitishia kwanza kabla ya kupost mambo kama haya. uko sahihi kabisa hizi ni eye supllement tu kama zilivyokuwa zile supllement zingine kama GNLD n.k. Na hazina uhusiano wowote ule wa moja kwa moja na Dr. Tutuba. Kiufupi ni upigaji mwingine wa pesa za watu unakuja.
View: https://www.youtube.com/watch?v=WB6sqE5Z9AY
Mbona mwatuchanganya? Ibrahim au Fatema na hizo nutrients zinarekebiesha refractive errors? Hope ni km GNLD na wenzake kina ARGI+
Nimejaribu kugoogle sana tu, kiufupi ni makanjanja kwani hiyo Visiorax ni eye supplement tu. Na huyo Dr. Tutuba wala hausiki chochote na hiyo product.Tuwekee link ya hiyi article au video clip.
Tusiingizane mkenge kimaataifa 👆🏾👆🏾🙏🏿
Upo sahihi.Si ajabu na huko Sudan kuna article ya hivi!
Wahuni hao. Huyo Dr Tutuba doesn't even exist.Sasa hutavaa miwani tena hii hapa dawa ya kupoteza kuona imeshagunduliwa na mtanzania mwenzetu wazungu waikubali.
Source ya hii habari:
Ni scam inapromotiwa sana mtandaoni, ukiwa nchi nyingine story ni hiyo hiyo ila imebadilishwa majinaDu tumefikiwa😭😭 Akili kumkichwa Ukilemaa Umeachwa Ferry! Forever Living kivingine: akuna kitu ni Mganga Manyau Nyau kwa staili Ya Kisasa.
Wadanganyika kuweni Makini
1. Wote waliokoment ,wamekoment tarehe moja na wengi wana majina ya kiindi japo picha zao ni Wazaramo.
2. Tanzania Chuo cha utabibu kilichopo Kidatu kinaitwaje??
3. Tutuba nae amekoment kama mteja🤣🤣
4. It is supplements na sio Dawa na aina any certification from FDA au any World known pharmaceutical Certification Authority ...KIMBIAaaaa
Du tumefikiwa😭😭 Akili kumkichwa Ukilemaa Umeachwa Ferry! Forever Living kivingine: akuna kitu ni Mganga Manyau Nyau kwa staili Ya Kisasa.
Wadanganyika kuweni Makini
1. Wote waliokoment ,wamekoment tarehe moja na wengi wana majina ya kiindi japo picha zao ni Wazaramo.
2. Tanzania Chuo cha utabibu kilichopo Kidatu kinaitwaje??
3. Tutuba nae amekoment kama mteja🤣🤣
4. It is supplements na sio Dawa na aina any certification from FDA au any World known pharmaceutical Certification Authority ...KIMBIAaaaa