Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa ajayo mwana wao Adam
 
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Una sonona Kali sana. Mambo ya mwanamke asiyekuhusu wala hana shida na wewe, hana haja ya kuongea na wewe, yeye kila siku kanisani wewe kinakuuma nini? Unatokwa na povu wakati huyo haendi swala tano. Ànaenda jumapili tuu.
Angekuwa anakanyaga mafuta mara tano kwa siku naona ungemçhinja kabisa.
 
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

MK254 haya si ndiyo yale mambo yetu?
 
Sihitaji pesa yako ila njoo nikuonyeshe mganga atakaekupa mme mwema tena mwema. Achana na hayo maombezi na mafuta, ujue nao ni ulozi.
 
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Pole sana ndugu, naona umekatiliwa ikabidi umalizie hasira zako huku. Wanawake wapo wengi we tafuta wa level yako utapata na usiingize maswala ya imani, ikishindikana tafuta fedha kwa bidii Watakuja wenyewe.
Yeye kama ana kanyaga mafuta kwa miguu yake inakuuma we kanyaga moto ukuchome.
 
Pole sana ndugu, naona umekatiliwa ikabidi umalizie hasira zako huku. Wanawake wapo wengi we tafuta wa level yako utapata na usiingize maswala ya imani, ikishindikana tafuta fedha kwa bidii Watakuja wenyewe.
Yeye kama ana kanyaga mafuta kwa miguu yake inakuuma we kanyaga moto ukuchome.
Mwenye hasira, anapomsema mwenye hasira mwingine kuwa ana hasira..!!! Nyani haoni kundule..!!
 
Mwanamke yeyote unayemuona kwenye mikesha ya maombezi.
Au mwanamke yeyote unayemuona akiwa bize na ulokole, elewa kuwa ana mwanaume wake anamkaza hata kama hajamuoa.
sina hakika ila inawezekana kabisa,

na kama ni hivyo,
ni muhimu sana muhusika akaanza kwanza kutubu kwa kosa la uasherati aloushiriki, kabla ya kuanza kububujika machozi ya uchungu sana, kuomba ndoa na kuolewa au kuoa, maana wakiume pia wapo 🐒
 
Back
Top Bottom