Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kesheni mkiomba
 
If you are looking for prostitutes in their prime go to the club, If you are looking for retired prostitutes go to the church.
 
sure,
uovu mwingi mno umejificha kwenye wema na huo utakatifu, hasa nyakati hizi.

umakini ni muhimu zaidi wakati wote 🐒
Kuna janga moja lipo makanisani PRAISE & WORSHIP TEAM 😃 Wale jamaa wanakulana ndani kwa ndani kiasi kwamba ukiona mdada wa sauti ya Pili akikosekana church basi na drum boy naye hayupo! Wanafanya PRAISE Maghetoni.
 
Back
Top Bottom