Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Sasa kama wewe ni Mtakatifu unaenda kufanya nini kwenye mikesha ya Maombi na Maombezi?

Kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa ajayo mwana wao Adam
mbaya sana siku hiyo isiyojulikana, akikukuta uko kwenye uzinzi ama uasherati na huna ndoa,

ila ndiyo uko mstari wa mbele zaid kwenye madhabahu yake, ukijifanya kama mtakatifu au malaika mweupe kama pamba na asie mdhambi.

Aise,
Atasikitika sana mwana wa Adam 🐒
 
Njia za kutafuta mwanamke zipo nyingi "gentleman "🤣🤣

Hata hapa jf mbona ukiamua kutafuta unapata tu.

Huyo wa kukanyaga mafuta wewe muache akanyage.
jambo la muhimu ni mawaidha haya mujarabu kwa wahusika,

haiwezekani unamkataa kijana mwenzako mtaani, kazini, kwenye semina au chuoni,

halafu sasa hivi umri unakutupa mkono,umeachujuka halafu unakuja kumbwelambwela na machozi ya uchungu wa kinafiki kwenye mikesha ya maombi na maombezi 🐒
 
Una sonona Kali sana. Mambo ya mwanamke asiyekuhusu wala hana shida na wewe, hana haja ya kuongea na wewe, yeye kila siku kanisani wewe kinakuuma nini? Unatokwa na povu wakati huyo haendi swala tano. Ànaenda jumapili tuu.
Angekuwa anakanyaga mafuta mara tano kwa siku naona ungemçhinja kabisa.
wanasumbua sana mitume na manabii japo wanapooza na tusadaka tudogo tudogo na maisha ya familia za waombezi wanapata chochote kitu.

lakini ukweli Lazima usemwe,
kwamba ni dhambi ya kujirudia kumkataa mwanaume anaekusudia kuanzisha familia na wewe, kisha unakimbilia kuonyesha uchungu wa kinafiki madhabahuni kuomba na kuombewa upate mume..

hata hivyo,
hapa hapa hakuna maumivu, wala hakuna maswala ya kuchinjana,

hiyo ya maumivu ni roho ya gubu, na hiyo ya kuchinjana ni roho ya mauti imekuzonga, kemea sana gentleman! 🐒
 
Mzee vp! kuna manzi anakukazia au?
Zaburi.23:1 Bwana ndie mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.

Gentleman,
mtu mwenye maono, aliejazwa Neema na Baraka za Mungu hutoa mawaidha yenye manufaa kwa wadau wote kwa ujumla. Tafadhali makinika 🐒
 
Pole sana ndugu, naona umekatiliwa ikabidi umalizie hasira zako huku. Wanawake wapo wengi we tafuta wa level yako utapata na usiingize maswala ya imani, ikishindikana tafuta fedha kwa bidii Watakuja wenyewe.
Yeye kama ana kanyaga mafuta kwa miguu yake inakuuma we kanyaga moto ukuchome.
Sure gentleman,
wanawake wako wengi mno, na walichezea usichana wao kwa maringo,

leo hii wamejazana kwa mitume na manabii wakiomba kile walichokikataa kwa nyodo sana wakati wakiwa wasichana.

hali ni mbaya na inasikitisha sana.
wamesahau hadi kutubu, wao ni vilio vya majuto ya majivuno na tabia zao enzi za usichana wao na sasa wamekua wanawake,

na kuna wengine wanatoa shuhuda kwa vilio vya uchungu na hisia mno, kwamba hayupo mwanaume hata wa kumsemesha, wa kumuomba namba ya simu au hata kumtongoza kwa mwaka mzima ...

hali ni mbaya sana na inatia huruma,
wengine ni mwaka wa sita sasa wanakanyaga mafuta na hawaelewi hatma yao 🐒
 
Hutaki kusemeshwa wala kuongeleshwa na mwanaume yoyote, yet umeng'ang'ana na mikesha ya maombi na maombezi, na sijui kukanyanga mafuta ya nini huko ili upate mume!

Yaan unamkataa kabla halafu kwenye kuombewa, unatoa machozi kabisa kumuhitaji. My friend, utakanyaga mafuta mpaka uote magaga na vigimbi, hutaolewa kwa sababu ya kujiona Mtakatifu na hicho kiburi chako.

Jichunguze tu,
utakua umemaliza lita ngapi saivi kujipaka hayo mafuta sijui ya nini mnapewaga huko na ambayo unaendaga kukanyaga?

Kitu kitakatifu hakikanyagwi ladies and gentlemen. Ni laana kukanyaga kitakatifu.

Wanaume,
Fanya bidii na kujituma katika kazi bila kukata tamaa wala woga, na hapo ndipo muujiza wa mafanikio yako uliopo. Usidanganyike kirahisi kama wa kukanyaga mafuta.

vinginevyo utapururwa mno kiuchmi na hiyo inayoitwa sijui sadaka ya urejesho au ya kuteketeza. hata hivyo ni muhimu sana sote tujipeleke kwa Mungu.

Mshirikishe Mungu kwa uaminifu katika kila jambo, vinginevyo utatapeliwa sana friend.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kijana wa kiume kwenye maombezi anaenda kukanyaga mafuta na kuombewa iii apate kazi, wakati huo huo mtaani kuna kazi nyingi anazi dharau.

Binti kwenye maombezi anaenda kuombewa ili apate Mchumba aolewe wakati mtaani akisalimiwa na Vijana haitikii hata salaam.

Acha Manabii wauze Mafuta ya upako na wakusanye sadaka waendelee kutajirika kwa ujinga wa watu wasio jielewa.
 
Zaburi.23:1 Bwana ndie mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.

Gentleman,
mtu mwenye maono, aliejazwa Neema na Baraka za Mungu hutoa mawaidha yenye manufaa kwa wadau wote kwa ujumla. Tafadhali makinika 🐒
Ukienda deep sana kuhusu hiyo Psalms 23 aisee utajifunza na kujua mengi sana sio Chapter nyepesi kama watu wanavyoichukulia
 
Yule dada wa makomo nilikutana nae Mwenge dsm nikaanza kumtania v shemej Hajambo akasema yup hyu mi nipo singe nikamuuliza je upo tayar kuolewa mke wa pili akasema sio wa pili hata wa nne nipo tayar hata kesho ..bac nkafany mchakato nikajilia mzigo af🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Kwenye maisha kila mtu ana kipaumbele chake na mitazamo yake!ni vyema kuheshimu na kuthamini mitazamo na vipaumbele vya wengne hata kama viko kinyume na mitazamo au hata imani yako!!learn to live ur life,let them live theirs!
 
Kijana wa kiume kwenye maombezi anaenda kukanyaga mafuta na kuombewa iii apate kazi, wakati huo huo mtaani kuna kazi nyingi anazi dharau.

Binti kwenye maombezi anaenda kuombewa ili apate Mchumba aolewe wakati mtaani akisalimiwa na Vijana haitikii hata salaam.

Acha Mqnabii wauze Mafuta ya upako na wakusanye sadaka waendelee kutajirika kwa ujinga wa watu wasio jielewa.
short and clear explanations 💪👊

Gentleman,
umeeleza vizur mno, tena kwa kifupi lakini pia kwa kina sana na kwa lugha rahisi, mambo haya mazito na muhimu yanayowachelewesha sana vijana wa kike na kiume kufikia ndoto na matarajio yao ya maisha humu nchini.

God bless you 🙏
 
Ogopa sana mtu ambaye anajiona ni msafi kwenye dini hizi! Kila wakati anaonekana mtakatifu! Fun enough ni kuww these people are the worst! Dini huwa ni kivuli cha kuficha mabaya yao
 
Yule dada wa makomo nilikutana nae Mwenge dsm nikaanza kumtania v shemej Hajambo akasema yup hyu mi nipo singe nikamuuliza je upo tayar kuolewa mke wa pili akasema sio wa pili hata wa nne nipo tayar hata kesho ..bac nkafany mchakato nikajilia mzigo af🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Tunacheka kana kwamba ni mazuri yanachekesha,

ila kwakweli mambo haya ni mazito mno miongoni mwa baadhi ya vijana wa kike na kiume walio mess up opportunities nyingi sana za mahusiano na uchumba wa maana katika kipindi muafaka...

sasa we cheki dada huyo aged, yuko tayar kuolewa mke wa nne, tena huenda hata bila mahari unavuta chombo,

ilimradi tu mwisho wa siku aitwe Mrs Fulani, dah 🐒
 
Ogopa sana mtu ambaye anajiona ni msafi kwenye dini hizi! Kila wakati anaonekana mtakatifu! Fun enough ni kuww these people are the worst! Dini huwa ni kivuli cha kuficha mabaya yao
sure,
uovu mwingi mno umejificha kwenye wema na huo utakatifu, hasa nyakati hizi.

umakini ni muhimu zaidi wakati wote 🐒
 
short and clear explanations 💪👊

Gentleman,
umeeleza vizur mno, tena kwa kifupi lakini pia kwa kina sana na kwa lugha rahisi, mambo haya mazito na muhimu yanayowachelewesha sana vijana wa kike na kiume kufikia ndoto na matarajio yao ya maisha humu nchini.

God bless you 🙏
🙏🙏🙏
Ameeen kubwa sana Mkuu. Natolea mfano mmoja tu, kipindi nimemaliza chuo nipo zangu home nahangaika kuongea na Washua wanitafutie kazi, Kuna jamaa akatokea akaniambia Dogo kuna kazi stationary upo tayari kwenda kufanya ? Nilijifikiria sana huku nikiwa nimeweka matumaini kwa Washua ambao ni Managing Directors kwenye Mabenki na wana connections mbalimbali.

Yule jamaa alioniambia kuna kazi stationary alinifuata tena ikabidi niende huku nikisikilizia kwa wale Washua. Ndani ya wiki tatu tu palepale Stationary Mume wa yule Dada Secretary akaniunganisha na Mume wake tena ni Experty kwenye professional yangu.

Ndio muujiza ulitokea hapo na yule jamaa akaniunganisha kwenye Kampuni kubwa kabisa. Vijana wakubali kuanzia chini kabisa ikibidi Wapigwe sana jua kabla ya kutaka kuanzia kwenye ofisi zenye viyoyozi
 
Kwenye maisha kila mtu ana kipaumbele chake na mitazamo yake!ni vyema kuheshimu na kuthamini mitazamo na vipaumbele vya wengne hata kama viko kinyume na mitazamo au hata imani yako!!learn to live ur life,let them live theirs!
Gentleman,
feel free kufanya unavyoweza kufanya,

Lakini kila moja anawajibika tena kwa uhuru kabisa kutoa mawaidha, kuonya, kukemea ama vinginevyo ikiwa jambo Fulani ni kichocheo cha ukubwa wa changamoto Fulani katika jamii..

kukaa kimya dhidi ya uharibifu au uovu ni dhambi, lakini pia ni uzembe na unafik wa kiwango cha juu mno..

ukweli utasemwa bila mbambamba yoyote, na wenye kuskia na wasikie na wenye kupuuzia wapuuze pia,

ila pia wasinung'unike sana pale ambapo haya tunayoyajadili leo ya kiwazonga wao.

Hiyo itakua case study na reference kwa wengine 🐒
 
Gentleman,
feel free kufanya unavyoweza kufanya,

Lakini kila moja anawajibika tena kwa uhuru kabisa kutoa mawaidha, kuonya, kukemea ama vinginevyo ikiwa jambo Fulani ni kichocheo cha ukubwa wa changamoto Fulani..

kukaa kimya dhidi ya uharbifu au uovu ni dhambi lakini pia ni unafik wa kiwango cha juu mno..

ukweli utasemwa bila mbambamba yoyote, na wenye kuskia na wasikie na wenye kupuuzia wapuuze pia,

ila pia wasinung'unike sana pale ambapo haya tunayoyajadili leo ya kiwazonga wao.

Hiyo itakua case study ana reference kwa wengine
 
Unataka aache kuomba na kwenda kusali abaki anang'ang'anizana na wewe.Ukishampa mimba unarudi huku huku kwenye ule uzi wenu wa single maza.Mwache tu aende huko ikibidi alale hukohuko dunia ya sasa imeharibika sana.Unampenda nenda kwao kajitambulishe umuoe
 
Unataka aache kuomba na kwenda kusali abaki anang'ang'anizana na wewe.Ukishampa mimba unarudi huku huku kwenye ule uzi wenu wa single maza.Mwache tu aende huko ikibidi alale hukohuko dunia ya sasa imeharibika sana.Unampenda nenda kwao kajitambulishe umuoe
mawaidha yangu ni kwamba,
ni muhimu azingatie alipokwamia au alipokosea kabla ya kwenda kukanyagishwa mafuta ya alizeti, ambayo ni kufuru kabisa, kukanyaga chakula. Huko ni kujibebesha mikosi zaid...

kupata mimba kabla ya ndoa ni kiherehere chao tu, aliwahi kusema JK.

katoa mimba zaid ya 15, anakwenda kwenye mikesha ya maombi na maombezi akiwa katoka kufanya uasherati na uzinifu huku kameza P2, na anatembea nazo kama silaha ya maangamizi...

hayupo kijana anaweza kwenda kujitambulisha nyumbani kwa akina pisi kali yenye tatuu kila sehemu ya mwili wake.

unadhani kulialia na kugalagala kwenye mikesha ya maombi na maombezi yatafuta utambulisho huo wa tabia yako?

au unadhani yale mafuta ya alizeti ambayo mnakanyaga yatafuta hizo alama gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom