Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Go where the are zingine mbwembwe tuUshauri ninaoweza kukupa ni kupiga goti kwa Mungu wako kwa imani yako......ndoa ni paradiso ukimshirikisha Mungu toka mwanzo, hakikisha unajibiwa kwanza na Mungu. Kama wewe ni mkristo funga hata mwezi mmoja tu majibu utapata
Kuna mtu ka comment kuhusu expectation.Yeye amekwambia sababu Ni kipato,Sasa wewe umembishia ndo useme kwanini hajaoa.?
Suala Zima la wanaume ni kukataa ile reaponsibility na commitment.Duuu miaka 17 ameshaos ana hasira sanaa....atachoka mapema sana huyoo
piga goti sana tena mwenyewe muombe Mwenyezi Mungu sawa sawa na imani yako hadi akupe mke mwema na ukimpata umuulize kabisa Mungu ni huyu umenipa au ni hisia zangu , tamaa na mihemko ya kutaka kuoa, hakikisha unaongea na Mungu kuhusu kukupa mke mwemaNimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.
Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.
Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.
Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.
Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Nimekuelewa mkuu na ndio maana nimekuwa na utayari sasa hivi, mengine yatabaki yamepita.Suala Zima la wanaume ni kukataa ile reaponsibility na commitment.
Kama anayo sababu nyingine mbali na kipato sawa, kama alisema tu sitaki kuoa sawa, kuna mtu kajibu vzur sana hapo juu kuhusu suala la expectations.
Kuna mshkaji alitoka kwao lindi akaja dar tena kwa magari ya kudanda akafikia machimbo ya mawe ya mzee limboa kapiga sana mawe, akapanga akaanza kununua vitu kidogo kidogo sahiv ana kibanda cha chips na Mke ndani.
Huyo hana elimu hata kidogo, suala zima ni kuwa na utayari kubeba majukumu.
Noted with thanks 🙏piga goti sana tena mwenyewe muombe Mwenyezi Mungu sawa sawa na imani yako hadi akupe mke mwema na ukimpata umuulize kabisa Mungu ni huyu umenipa au ni hisia zangu , tamaa na mihemko ya kutaka kuoa, hakikisha unaongea na Mungu kuhusu kukupa mke mwema
usombewe wala usishauriwe na makasisi watakupoteza omba mwenyewe mbele za Mungu
Tofauti na hapo ndugu yangu KATAA NDOA.
NAKAZIA SANA, AMUOMBE MUNGU WAKE AMPE MKE MWEMAndoa zimamoto[emoji23][emoji23]
Hapo sasa safi.Nimekuelewa mkuu na ndio maana nimekuwa na utayari sasa hivi, mengine yatabaki yamepita.
We jamaa ni mpumbavu sana, unaleta udini kweny uzi ambao hauhusiani na hayo mambo, unawaza udini tuu usiku na mchana sio??Wakristo mna ndoa kumbe
Mkuu huu mwaka unaisha kesho au labda umekosea?
Kila la heri.
Anza na cycle yako labda kuna anaekufaa...
HahahahaBado hamjatubu
Af kuna wenzako wengi tu kule wanajifanya team drone drake
Wengine wajeuri balaa
Ila iko siku tu 🤣 watakaa na kuona kitanda peke yao ni kama kulala juu ya paa