Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Kama kweli upo serious mtafute mwanamama ambaye ndugu/rafiki yako ambaye anajiheshimu na mwenye tabia nzuri. Mwambie nahitaji mke mwenye tabia nzuri, njia hii nzuri kwani hawa watu ndio watakusaidia kwenye vetting ya kupata mke sahihi, japo hapa probability wa kupata mwenye mwonekano utakao ni ndogo sana.

Njia ya pili kama hujali vetting,dondoka kwenye haya makanisa ya upako au kesho dondoka Kawe kuna mkesha,kuna lundo kibao la wanawake wenye presha za ndoa, hapa utapata mwenye muonekano uutakao, ila kuna probability kubwa kupata muigizaji maana maeneo hayo kupata mke mwema ni sawa kubeti timu ishirini kwa jero.

Njia hizo zote mbili yaani mpaka baada ya mwezi watatu au wanne tayari ushaoa.
 
We jamaa ni mpumbavu sana, unaleta udini kweny uzi ambao hauhusiani na hayo mambo, unawaza udini tuu usiku na mchana sio??

Usianze kujitetea, najua ulichomaanisha.
Nyie si wote mnazini kwanza afu ndio mnaowana, sijawahi kuona mkristo kaowa bila kuzini.

Mimi kuitwa mpumbavu na mkristo wala na jali, nyie si makondoo tu mnabudu binadamu 😄

Mulizaji kauliza kuwa anataka kuowa ndoa ya kikristo, yeye ndiye kaleta udini sio mimi.
 
nyie si makondoo tu mnabudu binadamu 😄
Inachekesha sana kuambiwa hivi na mtu anayeabudu dini iliyoanzishwa na Vatican kwa kutumia moja ya miungu ya palepale Mecca kutoka kweny kabila la Muddy, Naamanisha Allah the moon goddess aliyekuwa anabudiwa kama mungu mwezi kabla hata Muddy hajapigwa roba na wakatoliki kule pangoni.

WHEN THERE IS NO ALLAH TO SEE.
WHEN THERE IS NO JIBRIL TO SEE.
WHEN THE BLACK STONE IS THE ONLY THING THEY SEE TO BE REAL IN THEIR LIVES, THIS IS WHAT SUNNI AND SHIA MUSLIMS DO TO BE FORGIVEN OF THEIR ATROCITIES.
STONE IS WHAT THEY ARE FIGHTING OVER YET THEY CLAIM THEY ARE NOT IDOL KISSERS! hahahaha😅😅
IDOL WORSHIPPERS!
Screenshot_20231231_003142_Gallery.jpg

images - 2023-12-31T003000.977.jpeg

Screenshot_20231231_003054_Chrome.jpg
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Aiseee, Narudia Tena aiseee usije ukathubutu kukurupukia jambo hili, yatakukuta mazito sana otherwise uwe na bahati ya mtende.
 
Miaka 40 kuoa kawaida but mostly ni mtu ambaye ashaona kipindi cha nyuma wanawake walimzingua ,hapo jiulize wewe unaoa una 40 unapata mke mzuri wife material aliyekukataa ujanani single mother with 3or 5 kids with mixed fathers unaoa fresh tu bro 40 ndio mwanaume mwenyewe sasa
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
utapata mwenza inshallah
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Onana na To Yeye mkuu,ni mtu ambaye huenda mkaweka mambo yenu vyema mkakokotana mpaka mahala pazuri.
Vp,isije ikawa umerejea zizini baada ya kuvunjika guu?
 
Kila la heri bro. Ila epuka mwanamke aliyekwisha zalishwa na wengine.
Epuka wanawake wa kimakonde hata awe na elimu gani. Epuka Muha. Epuka mrangi hata awe na elimu.
Utanishukuru baadae.
Kwanini aepuke waha?
 
Hakuna cha zaidi ya upendo, oa mwanamke unayempenda nae akupende.
Kila kitu kinawezekana mkipendana kwa dhati.
Mtoa mada nikwambie ukweli, wewe ni mwanaume mwenzangu, humu jf wanasema wanaume hatuzeeki ila ukweli ni kuwa na sisi tunazeeka as fast as women, naona kuwa umechelewa sana kuoa bro, sexual market value yako imeshuka sana, ungekuwa na miaka 30-33 sawa, mwanaume wa miaka 40 mwanamke gani akupende? Labda sijui Mungu aingilie kati, mwanaume ukifika umri huo utapata single mothers wa miaka 32-38

Ukweli ni kuwa mabinti wenye miaka 18-23 hawawezi mpenda mwanaume mwenye miaka 40 kwa ajili ya kuolewa na kutengeneza nae maisha, labda huyo mwanaume awe na pesa, ndo watakubali kuolewa nae Nifah stephenga
 
Back
Top Bottom