Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

Sasa nahitaji ndoa kuliko kitu kingine chochote. Siwezi tena kusubiri

Kama hauna pesa mjini achana na hio habari mwanamke ni pesa na pesa ni mwanamke labda ukaoe wa kupiga nae jembe kijijini
Labda kijijini mzee.
Maana akimpata atambiwa mahari ni 1.5M-2M.Sasa yeye ana ataoaje ?nahc ni mkristo maana angekuwa ndugu zetu waslaimu asingeshindwa.
 
Bado hamjatubu
Af kuna wenzako wengi tu kule wanajifanya team drone drake
Wengine wajeuri balaa
Ila iko siku tu 🤣 watakaa na kuona kitanda peke yao ni kama kulala juu ya paa
1703997993088.jpg
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Labda ukanunue robot la Elon musk
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Wazazi wakutafutie kabinti hapo kijijini uoe
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.

Mbona mwaka wenyewe ushaisha mzee au unataka miujiza ?
 
Inachekesha sana kuambiwa hivi na mtu anayeabudu dini iliyoanzishwa na Vatican kwa kutumia moja ya miungu ya palepale Mecca kutoka kweny kabila la Muddy, Naamanisha Allah the moon goddess aliyekuwa anabudiwa kama mungu mwezi kabla hata Muddy hajapigwa roba na wakatoliki kule pangoni.

WHEN THERE IS NO ALLAH TO SEE.
WHEN THERE IS NO JIBRIL TO SEE.
WHEN THE BLACK STONE IS THE ONLY THING THEY SEE TO BE REAL IN THEIR LIVES, THIS IS WHAT SUNNI AND SHIA MUSLIMS DO TO BE FORGIVEN OF THEIR ATROCITIES.
STONE IS WHAT THEY ARE FIGHTING OVER YET THEY CLAIM THEY ARE NOT IDOL KISSERS! hahahaha😅😅
IDOL WORSHIPPERS!
View attachment 2857892
View attachment 2857893
View attachment 2857894
Uislam ndio ulikuja futa ujinga wenu wakuabudu Masanamu pale Makkah Al Mukarama, walikuwepo wajinga kama nyie, mnavyo liabudu like sanamu lakizungu eti Yesu, toka lini Yesu alikuwa vile lile sanamu limekaa kishoga shoga.

Eti uislam umeanzishwa na Vatican 😄 we kweli kichaa njoo tukupe mbuzi na kondoo ukachunge nyie siwachungaji tu.

Hilo jiwe Jeusi lilikuwa mbinguni we dogo unaelewa nini, lilikuwa jeupe likabadilika rangi kwa dhambi zilizopo dunia, haswa nyie mapagani mlipokuwa pale Makkah mlikuwa mkibeba masanamu 😄 hilo jiwe Aliliweka Nabii Ibrahim hapo Makkah kwa Amri ya Mungu.

Dini ya Kislam ni dini ya Mungu 💯 sio dini zenu zakujitungia.

Ukienda Makkah utaona wapi Nabii Ibrahim aliwawacha family yake ambaye ni mkewe Hajar na Mwanae Ismail.

Utaona kwanini Waislam wanachinja utafahamu history ya Nabii Ibrahim alipo ambiwa amchinje mwanae Ismail, badaye akambiwa achinje kondoo badale yake. hizo ni nguzo zote zipo kwenye Uislam nyie mmebaki kuimba kama walevi kanisani hamuoni kanisani wanawake wako uchi uchi tu, afu kwenye Christmas zenu harufu ya zina dunia nzima, na pombe hivyo ndivyo mnamtukuza Mungu wenu siku kazaliwa 😄
 
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.

Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.

Haswa ukizingatia mimi ni mtu mwenye kipato kidogo sana naishi kwa kubangaiza japo nna elimu ya masters na nilishawai fanya kazi ofisi kubwa hapo nyuma ila sasa ni jobless najitafuta upya.

Moja ya sababu ya kuchelewa kuoa ni hali ya kipato nimeishi muda mrefu bila kazi ya uhakika hapa DSM. Nataka huu mwaka usigeuke sijaoa na kupata mtoto ikitokea nimekosea basi ni mipango ya Mungu.

Nipeni madini namna ya kupata mtu sahihi maana kwa akili yangu naona bado naumiza kichwa sana.
Marry above 30 utakuja kunishukuru baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom