Sasa ni dhahiri, CCM wanapumulia mashine

CHADEMA mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Labda cabinet ya hotel yake ya Chato pale!! Magufuli ni Raisi Mstaafu kuanzia late October 2020. Wiki ijayo ijumaa tu anaanza kuona wapiganaji wakimkana live
Na ili 'Kuwakomesheni' sasa akipita tu 'CCM' tutaanzisha 'Kampeni' ili 'Katiba' ya Chama 'ibadilishwe' na 'aitawale' Tanzania hadi 'atakapochok'a tu.
 
Na ili 'Kuwakomesheni' sasa akipita tu 'CCM' tutaanzisha 'Kampeni' ili 'Katiba' ya Chama 'ibadilishwe' na 'aitawale' Tanzania hadi 'atakapochok'a tu.
Atatawala familia yake chato ingawa nasikia hadi huko hawamkubali
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Hawezi kuwa tena hata diwani Tanzania
Nakubaliana na wewe, nchi hii wasaliti ni lazima tuwatoe. Ila wasaliti ni wale wanaotumia hela za nchi bila utaratibu, bila kupitishwa na bunge. Wasaliti ni wale wanaobambikiza raia wake kesi za uwongo. Wasaliti hao pia ni wale wanaoruhusu watu kutekwa na kupotea, wenye kutumia vyombo vyetu vya usalama kubaki madarakani. Hawa wasaliti hawa wasipokubali kutoka kwe heri mwaka huu tutawatoa kwa nguvu zote. Labda watuuwe wote.
 
Jaribu kutofautisha Kati ya kuwasililisha hoja na kulalamika

1. Kuwasililisha hoja hii ni unatoa maelezo ya kujitosheleza bila kulalia upande mmoja na kuambatanisha maelezo au vielelezo sahihi katika Jambo husika ili mchangiaji awe huru kutoa mchango wake katika mada.

2. Kulalamika hii hutokea kuwa maelezo yanakuwa yanasifia au yanakandia upande mmoja Yan kuleta shutuma za upande wa pili bila vielelezo au maelezo sahihi ya Jambo husika na kumfanya mchangiaji kuwa wa upande mmoja au kumfanya achangie bila kutumia weledi wa Jambo
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi
Hawezi kuwa tena hata diwani Tanzania
Msaliti wa nchi ni yule aliyejenga uwanja wa kimataifa wa ndege Chato kwa fedha za walipa kodi huku akisema hatopekeka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani
 
Mm ninao washangaa zaidi ni NEC wanajua kabisa hawajathubutu kumuondoa mgombea yeyote wa CCM,huku wakiwafanyia wagombea kutoka vyama vingine uharamia kwa kuwaondoa kwenye ugombea ili tu kuendelea kulazimisha watanzania walio wengi Eti waendelee kuipenda CCM Kwa maagizo ya serikali alafu bila hata AIBU wanakuja kwenye Media wanaongea vitu vya kijingajinga tu,Mara oo watu wanataka kuvuruga uchaguzi bila kujua walianza kuubomoa UCHAGUZI huu ni NEC Wenyewe,na harakati zao za kutaka kurudisha uhai wa mgonjwa aliye ICU.Nawakumbusha tena NEC HAKI NI MUHIMU,kuna baadhi ya wajinga wachache wanasema eti huwezi kuwa na HAKI bila wajibu,wajue kwenye UCHAGUZI huu HAKI na Wajibu vinaenda pamoja,wajibu wetu kama wananchi ni kuondoa viongozi wasiojali watu ila wanajali kwao walikotoka tu.HAKIKA MAJI YAKO SHINGONI BADO KUZAMA TU na hatutaona MTU.
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Msaliti wa nchi ni yule aliyejenga uwanja wa kimataifa wa ndege Chato kwa fedha za walipa kodi huku akisema hatopekeka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani
 
Hii ni hoja timamu. Kama unaipinga ipinge kwa hoja
 
Nchi hii haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Tanzania hatutaki ushoga pia
 
Tanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Msaliti ni aliyejenga uwanja wa ndege Chato huku akisema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani.

Kwa nini Awamu ya tano ilisema operesheni ya makonda dhidi ya mashoga sio msimamo wa serikali??
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Endelea kurudia tu. Ila kadai tu upewe fedha zako unazodai Lumumba. Chadema ndo Chama tawala Tanzania 2020-2025. Utake usitake
 
Nimeshangaa sana Membe ,goli la dk ya 89 ndo kuandika barua feki kuangua Zitto na maalim seif ACT ?kama kweli hii ndo goli la dk 89 nadiriki kusema huyo mzee Membe akili zimemruka
 
Jpm viva
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Msaliti na mropokaji ni aliyejenga uwanja wa ndege Chato huku akisema hatopeleka miradi ya Maendeleo kwa wapinzani huku akisema atamgawa mama yake kwa mwanaume baada ya kupewa jogoo!!

Tundu Lissu atapigiwa kura na mamilioni ya watanzania ikiwemo wana Ccm waliochoka uuaji, utekaji na ubambikaji kesi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…