Enlightening
Senior Member
- Oct 14, 2020
- 167
- 173
Tatizo vijana wa ccm mnataka kutupotosha kwa ajili ya manufaa yenu binafsi na ikiwa ukweli wa mambo mnao acheni kujitoa fahamu ivi hizo fuvu zenu zimebeba mavi au kamasi ?WaTz sio wajinga wakubali kimchagua mtu anayesapoti ushoga....ushoga mwisho wake 'UFIPA' tumeeleawana...!! Next time mtajipanga vizuri .. AFRIKA NA USHOGA WAPI NA WAPI..?
Ngoja mungu atawaumbua sasa tarehe 28 chadema wanaingia ikulu wataona Aibu kwa kushiriki kuihujumu chademaITV kumbe nao ni wapumbavu sana tu...
Fuvu zao zimejaa mavi na kamasi 28 ndio watasikia sauti ya mtzBia yetu
Ngoja mungu atawaumbua sasa tarehe 28 chadema wanaingia ikulu wataona Aibu kwa kushiriki kuihujumu chadema
Maono ya kujenga uwanja wa ndege Chato na kuteka, kuua na kubambikia watu makesi???Watanzania tunajivunia kumpata kiongozi bora Magufuli
Rais Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Tatizo la CCM ni Akili zao ndogo kutaka kuongea na Akili kubwa za wananchi ambao wameamka zaidi ya CCM wapo makini hawataki kusikia propaganda zozote za CCMTatizo vijana wa ccm mnataka kutupotosha kwa ajili ya manufaa yenu binafsi na ikiwa ukweli wa mambo mnao acheni kujitoa fahamu ivi hizo fuvu zenu zimebeba mavi au kamasi ?
Maono ya kujenga uwanja wa ndege Chato na kuteka, kuua na kubambikia watu makesi???
Hata Nyerere alisema hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho akiamka atatuambia nini??? Kila siku maisha yetu ni kuwa rehani tuTumuache magufuli amalizie miaka yake 5 tano tena ikishindikana CCM iridhie serekali ya pamoja alimuradi tu magufuli amalizie 5 tena CHADEMA WAO MPAKA SASA WANA COUNT DOWN KILA OVU LINALOFANYIKA TUKIO KWA TUKIO BADO KIDOGO TU BOOK LIJAE HUU NI KWA MTIZAMO WANGU JINSI NIONAVYO MBALI WANASUBIRI JAMBO MOJA TU ILI KESI ZA FEDHEA ZIANZISHWE NALO NI WATU WAUMIZWE HEKIMA YA POLISI NI MUHIMU SANA KWA WAKATI HUU
28 lazima afe punda mzigo ufike wajiandae vyema ccm nimewachoka wanafaidi nchi kakikundi ka watu wachache tu afu wanajitapa kwenye media wao wanaendesha v8Tatizo la CCM ni Akili zao ndogo kutaka kuongea na Akili kubwa za wananchi ambao wameamka zaidi ya CCM wapo makini hawataki kusikia propaganda zozote za CCM
Wametia aibu sana ITV. Sijui baada ya kuapishwa Lissu watasema nini??CCM kwisha habari , naona hata ITV wametishwa kuonyesha habari za Lissu
Jiandae kumsindikiza mtukufu Mkoloni kaburu mweusi kurejea kijijini chato kusubiria kushinda mahakamani kama Jacob ZumaHuo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Kwa iyo ni uwongo uwanja wa ndege kujengwa Chato??? We kilaza!!Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Ni vizuri ujibu maswali uliyoulizwaHata watoto wanajua mgombea wenu kutoka ubeligiji alitetea
Hana jawabu ataishia kujikanyaga kanyaga tuAmesaliti nini ??? Embu tuambie
Amesaliti nini ??? Embu tuambie
ITV nao Wajinga tu...CCM kwisha habari , naona hata ITV wametishwa kuonyesha habari za Lissu
Hofu ya CCM ni kumuona kaburu mweusi akishinda mahakamani kama Jacob zuma hapo baadaeNi vizuri ujibu maswali uliyoulizwa