Sasa ni dhahiri kesi ya Mbowe imekaa vibaya. Mashahidi 24 na vielelezo 19 vya serikali si mchezo. Ni mkao wa kunyolewa

Aisee..ninadhani ni ukosefu wa maadili ndio inatuathiri watz. mtu unaanzaje kufanya sherehe kushangilia kifo cha mwenzako ? Mungu amsamehe madhambi yake na awafariji familia yake kwa msiba huu.
Tuanzie na sababu ya mtu kufurahia wewe ukifa, wakati akifa mwingine watu wanalia sana?? Hivi kwa nini kwenye dini tunaambiwa kuna watakaoenda peponi na kuna watakaoenda motoni??
 
Wingi wa MASHAHIDI Wingi wa Vielelezo Sio Ukubwa au Ugumu wa Kesi Kama Hujui Sheria kaa kando

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sijasoma huu ugolo maana nina uhakika ni ugolo 100%
Mi nadhani ungeufanyia kazi kuliko kuupuuza huu ugolo Kama unavyouita.baada ya muda utajua ni ugolo au si ugolo.mzaha mzaha hutumbua ....puss!
 
Kuwa na mashahidi 23 na vielelezo 19 siyo sawa na kusema kesi imeelemea upande wa fulani. Kuna baadhi ya kesi Jamhuri inaweza kuwa na mashahidi na mshtakiwa kutokuwa na shahidi yeyote na still ushindi ukawa upande wa mshtakiwa. Kinachotakiwa kwenye kesi ni the weight of evidence and persuasion.
 
Huo utitiri wa mashaidi ndio utakaoivuruga hiii kesi
Kuna uwezekano wa baadhi ya mashahidi kusahau script verse zao na Mh.Mbowe akanusurika dhisi ya watesi wake.
Huo wingi wa mashahidi pia ni mbinu ya kurefusha muda wa kuendesha mashauri yenyewe.Delaying Tactics kwa Hoja za Katiba yetu ya Wananchi.Mbinu za kizamani!
 
Kuna kila dalili ni kupotezeana muda ili kuwatoa watu kwenye hoja ya katiba mpya kwa either kumfunga au kumwachiwa wakati wameshajiandaa na lifuatalo. Hili halitaenda kwa funika KOMBE MWAHARAMU APITE LA HASHA utashi, uelewa na dhamira ya kuokoa nchi kutoka kwenye aibu hii tunayoishuhudia sasa hivi. Utamfunga Mbowe ila halitaishia hapo suluhisho la kisiasa linamalizwa kisiasa, watanyanyuka wengine watakuja na hoja hiyo hiyo la katiba mpya msikilizeni wazee wetu Msekwa/Warioba hawa ni CCM. Hili ni hitaji la hata CCM wenyewe utaniambia siku za usoni.
 
Itabidi mtumie mabavu ili kulazimisha hukumu muitakayo. Ushahidi mliyo nao mpaka sasa ni porojo kama za watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…