ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mnaandamana Kwa sababu Tzn Kuna umaskini au Kwa sababu maisha ni magumu? Nchi gani haina maskini?Hivi,kweli wewe ni wa kuuliza kama Tanzania kuna umasikini au shida?Na ukipewa majibu nusu kaputi utajinunisha?Na haujui kama kuna watu wapo kwenye vikundi vya TASAF?🤔
Bora Leo umekiri kuwa CHADEMA inaweza kuleta impact 🙏Naunga mkono hoja, niko hapa Dodoma, kiukweli leo ilikuwa ni heka heka hapa mjini kati!
P
Nimekumanya mkuuWala usiyasingizie maandamano kuhusu bunge.Bunge lililopo ni bunge hewa.Halijulikani wala kueleweka sembuse kufuatiliwa!Hatuwezi kuzuia maandamano kwa kujidai kuwa tutashindwa kufuatilia kitu kisichofuatilika.
Wawezya woo!🙏Nimekumanya mkuu
Nape anaona rangi gani ?Hatari sana watu wote wanaona nyeupe lakini wewe umeng'ang'ania nyeusi!
Sema asante raisi Samia kwa kuvumilia upuuzi wenu.
Kwa sababu anachofanya sio democracy, ni udekezaji.
Huko mbele anawapa wenzake kazi ngumu ya kuwarudisha kwenye mstari.
Uwezi kujiamulia tu kufanya maandamano na kutunga uongo, kwengine duniani ukaachwa kwa kivuli cha democracy.
Nape anaona hiyo unayo ona wewe!Nape anaona rangi gani ?
God bless him JM always honest.
Hilo ni onyo kwako, sasa endelea na ujingaGod bless him JMK
Huyo alikuwa anasema mambo kama yalivyo hakukuwa na kumum’ngunya ukweli kwake; it is what it is.
Shida ni kwamba pamoja na muungwana kuwapa nafasi ya kujibu hoja za muda huo CDM hamkua na lakusema mpaka leo zaidi ya kutumia hiyo clip ya muungwana kwa propaganda.
CCM chama sio sawa na upupu wa CDN unaoweza chonganisha idiot.
Sasa nani mwendawazimu wewe unaetaka kuzushia watu mambo au uhalisia. JK alisema wapi huo upuuzi wako.Hilo ni onyo kwako, sasa endelea na ujinga
Usilie, ndio kwanza tunaanzaSasa nani mwendawazimu wewe unaetaka kuzushia watu mambo au uhalusia
Wewe ni poyoyo kwenda kuokota vi quote aina maana ndio kauli za viongozi wa CCM. Mbaya zaidi kama kauli zenyewe za uzushi zinatoka kwa Erythrocyte bingwa wa uongo JF.
CCM chama
You ain’t seen nothing yer muda ukifika
Sitaki kuingilia vita vyako na madogo wanakushinda mpaka unawaita chawa (uwawezi poyoyo wewe) pambana nao kwa sasa.Usilie, ndio kwanza tunaanza
Ndio leo tuu wewe umeona?!.Bora Leo umekiri kuwa CHADEMA inaweza kuleta impact 🙏
Na hapa ni kama ndio tunaanzaMaandamano yanawachaganya sana CCM, nillikuwa mahali fulani na kukawa na mkutano wa ccm, kilichotokea kila aliyepanda jukwaani, alikuwa anaisema CDM au kumsifia Rais.