Sasa ni rasmi, Fiston Kalala Mayele atambulishwa Pyramid FC ya Misri

Sasa ni rasmi, Fiston Kalala Mayele atambulishwa Pyramid FC ya Misri

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
PRESHA FC DE UTO KAZI WANAYO[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Yanga tumefanya biashara nzuri 3b ni pesa ndefu kumbuka Mayele tulimpata kama free agent
Tukamunoa sasa tumemuuza pesa ndefu hongereni viongozi wa yanga

Mwakani tunaamuza Musonda 5b na Job

Namtakia kila la heri Fiston
Nidhamu, bidii yake naamini atafanikiwa
Kwamba Mayele ameuzwa na Uto? Waulizeni vizuri
 
View attachment 2703284

Club ya Pyramid FC ya Misri imetangaza kumsajli Mshambuliaji wa Kimataifa wa Congo DR Fiston Kalala Mayele (29) kutokea Yanga SC ya Tanzania.

Mayele anaondoka Yanga baada ya kucheza misimu miwili Tanzania kwa maanikio makubwa msimu wa kwanza 2021/2022 alimaliza nafasi ya pili kwa ufungaji magoli 16.

Msimu wa 2022/2023 akiibuka MVP wa Ligi Kuu Tanzania bara sambamba na tuzo ya Mfungaji bora wa Ligi sawa na Said Ntibazonkiza wa Simba wote wakifunga magoli 17.

Mayele anaondoka Yanga baada ya kuisaidia kutwaa taji la Ligi Kuu mara 2, FA Cup 2 Ngao ya Jami mara mbili na kuisaidia Yanga kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza katika historia yao msimu 2022/2023 na ndio Mfungaji bora wa Michuano hiyo akimaliza a magoli 7
Wapi nitaweza PATA jezi ya Pyramids!?
 
Yanga SC wakiambulia Pesa nyingi ya Mgao basi itakuwa ni Shilingi Elfu Mbili ( Tsh 2,000/= ) tu za Kitanzania na watakaopata nyingi ni Klabu yake ya AS Vita, Maniema FC na Tajiri wa Congo DR anayemmiliki Mchezaji Mayele na Wachezaji wengine 23 walioko Ulaya na baadhi ya nchi za Bara la Afrika.
Rage tunakukumbuka
 
Sisi kweli huku bado sana ,nimetizama jezi ya Pyramid nawaona Puma wamening'inia kifuani.
 
Back
Top Bottom