Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Unasema usichokijua.kwa Majirani zetu wa Kenya Ukabila bado ni Tatizo.
Jambo hilo halina kificho ila nawashauri sana ndugu zetu wa Kenya wasiendekeze Ukabila....waungane wamchague Rais ambaye haendekezi suala la Ukabila.....
kwa Maoni yangu namuona Wiliam Ruto anaweza na anafaa sana kuondoa Ukabila Kenya.
"Baba" anaweza kubakia kuwa mshauri.
Ndugu yangu acha kukariri.Every Kenyan election, Tanzanian idiots open threads and preach war against Kenya, yet every Kenyan election goes on peacefully. You're really praying for Kenya to fail. You guys are so full of hatred.
joto la jiwe ni mfano mmoja, Geza Ulole mwingine.Hamna Mtanzania anayemchukia Mkenya. Tanzania na Kenya muingiliano ni mkubwa sana kwa hiyo baya lolote la kuwapata Wakenya Tanzania tutaasirika pia
Kama kuna Kitu Watanzania wote tunatakiwa Kupongezana sana tena 24/7 na Kumshukuru mno Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni Kitendo chake cha kutoruhusu Ukabila nchini ila tubakie tu na Utanzania Wetu kama Kitambulisho chetu Kikuu.
Kenya Ukabila ndiyo utamua Rais wao.
Ndugu yangu acha kukariri.
Usichukie kuona wakenya wakikosolewa, jifunze kuchukulia mambo kwa mtanzamo chanya kwanza.
Mleta mada anazungumzia ukabila wa wakenya, wewe unazungumzia vita na machafuko ya kisiasa, sijui umewaza nini?
Sasa, turudi kwenye mada.
Je, siasa za Kenya hazijajikita kikabila?
Je, wewe unaona ufahari na siasa za kikabila?
Kuna mpumbavu anataka kufufua ukabila kwa kufufua uchifuKama kuna Kitu Watanzania wote tunatakiwa Kupongezana sana tena 24/7 na Kumshukuru mno Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni Kitendo chake cha kutoruhusu Ukabila nchini ila tubakie tu na Utanzania Wetu kama Kitambulisho chetu Kikuu.
Kenya Ukabila ndiyo utamua Rais wao.
Ndio unavojidanganya?Bora wao wana ukabila ila wana democracy ,...
Sina chuki na Kenya, lengo ni kurekebisha upotoshaji unaofanywa na wakenyajoto la jiwe ni mfano mmoja, Geza Ulole mwingine.
Boss huyo sio mimi. Tuheshimiane. Kwa hivyo unadhani mimi nina accounts mbili JF? Unadhani sina kazi nyingine ya kufanya isipokuwa kushinda humu kutwa kucha nikiongea na ng'ombe za South?Duuu huyu Tony254 sijui ana tatizo gani. Yaani yeye akili zake zinawaza vita tuu. huo mpambano wa kikabila kwa mtu mwenye akili sawa anajua ni mikakati ya ushindi kwa kila upande. sasa suala la vita linaanzia wapi.
Waeleze hawa wenzako. Hawaelewi demokrasia ni nini. Yaani nyie mna udikteta wa Chama kimoja.Bora wao wana ukabila ila wana democracy , sisi hatuna ukabila lakini wtawala wanatuchezea watakavyo kwa sababu hatuna democracy.
Halafu ukabila unaenda mwishoni kenya , jaluo na mkikuyu hawajawahi kuwa marafiki , ni safari hii ndo inatokea
Umesema una chuki na Kenya humu severally. Mbona unaruka? Na Wakenya wanapotosha kivipi?Sina chuki na Kenya, lengo ni kurekebisha upotoshaji unaofanywa na wakenya
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Got the best of both worlds broNdio unavojidanganya?
WAKUNYA HAWANA MAANA YOYOTE WAUWANE TU...Kama kuna Kitu Watanzania wote tunatakiwa Kupongezana sana tena 24/7 na Kumshukuru mno Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni Kitendo chake cha kutoruhusu Ukabila nchini ila tubakie tu na Utanzania Wetu kama Kitambulisho chetu Kikuu.
Kenya Ukabila ndiyo utamua Rais wao.
Unanijibu kwa ugoko sio? Ha ha ha, hujielewi.Got the best of both worlds bro
Bruh ukabila upo semaaa pongeza kwmba sio katika kiwango icho cha wakenyaKama kuna Kitu Watanzania wote tunatakiwa Kupongezana sana tena 24/7 na Kumshukuru mno Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni Kitendo chake cha kutoruhusu Ukabila nchini ila tubakie tu na Utanzania Wetu kama Kitambulisho chetu Kikuu.
Kenya Ukabila ndiyo utamua Rais wao.
Swala la kujielewa liko too personal ,7Unanijibu kwa ugoko sio? Ha ha ha, hujielewi.
Kwa hiyo wewe unatafsirije hiyo "democracy" unayoiongelea hapa?Swala la kujielewa liko too personal ,
Unasema una democracy nchini kwako ,
Team msoga ndo hiyo imeshika hatamu, sijui hata kama unaelewa maana ya "hatamu" and Fyi ,they are here to stay labda watuonee huruma .
Ujinga kama huu hapo kenya kwa majirani ulikuwepo enzi za Kanu na tokea wamepata katiba mpya hautokaa utokee tena.
Kwa taarifa hakuna uchaguzi Kenya uliofanyika peacefully kila uchaguzi ukifika mnaanza kupiganaEvery Kenyan election, Tanzanian idiots open threads and preach war against Kenya, yet every Kenyan election goes on peacefully. You're really praying for Kenya to fail. You guys are so full of hatred.