Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Hakika daima tutaendelea kukumbuka mema yake
 
Pole.
 
Kwenye Ukali na kunyoosha watendaji alishinda..
Kwenye kugandamiza democrasia alipunyanga...

Therefore.
Jiwe huko alipolala aongozewe jiwe kubwaa juu mgongoni bila kusahau kumimina zege na kuweka grill asitikisike..

Mwaka huu refa anaweka kitu kati tena, Itapigwa counter attack moja tuu kitu nyavuni.

Jiwe na yule aliyetuita malofa and the likes..
To hell, Kikubwa ni kuhakikisha kuni haziishi jikoni...
 
Uchawa kwa kiongozi wa dini haufai,mbona sijamsema vibaya Askofu Niwemugizi au Bagonza ila nimemsems aliyekuwa anatetea maovu ya Magufuri.
 
Mpuuzi sana wewe,alimyoosha nani??zaidi ya kuwaonea CDM??
 
Iddi amini hakuvamia Kagera..
Hizo zilikuwa story mkuu na initiative ya kuwavamia Uganda..
 
Futa hii comment nikununulie andazi
Mkuu Kipindi Vita Inaanza nilikuwa sina umri mkubwa sana japo nilikuwa Mtoto ila baadae nilijitafutia Ukweli kwa sababu Vita ilifanikiwa kumuua kaka Yangu pia!

Kipindi vita inaanza nilikuwa Nina umri wa miaka 6 mwaka 1978 na iliisha mwaka 1979 nikiwa na miaka 7..

Ukitaka kubalance story yote ya Bita vya Idd amini..
USitafute story kwa upande mmoja Nenda kagera Soma historia ya pale uliza wazee wa pale ukitoka hapo nenda Uganda uliza watu wa uganda..

Kiufupi ni kuwa Nyerere alitaka Rafikiye Obote ndo awe Rais..
Na alifanikiwa kufanya hivyo..
 
Hakuna rais wa hovyo kuwahi kutokea kama yule. Ndio maana haishi midomoni. Acha nchi ipumue na huyu kimeo mwingine.
 
Hivi mna dhani Nyerere ana akili fupi kama hizi zenu? Eti alitaka kumweka Obote, then what? Don't reduce that man to mediocre and banana leaders wenu wa kawaida wa CCM.
 
Hivi mna dhani Nyerere ana akili fupi kama hizi zenu? Eti alitaka kumweka Obote, then what? Don't reduce that man to mediocre and banana leaders wenu wa kawaida wa CCM.
Nyerere alikuwa rais wa kawaida sana, Narudia Tena wa kawaida sana..
Sema tu alitengeneza hofu kwa Raia..
Kuna vitu vingine kijana unahitaji kuvifatilia na kufanya studies nyingi sana utakuja kunielewa
 
Ila nikuhakikishie, Kama Mbowe angehusika Leo angekuwa amenyongwa. Umesahau kitendo Cha Mbowe kuajiri JWTZ wastaafu kikampatia kesi ya ugaidi?. Sembuse aue na serikali ijue. Tuwe realistic.
Mbowe ni gaidi.
 
Eti viongozi wa dini, nimecheka vibaya. Kwamba viongozi wa dini ndio Nini kwa mfano? Au kwakuwa ww umelemazwa na hizo dini za watu weupe, basi mtu akiwa mbele ya hao walimu wa hizo dini ndio kafia kwa Mungu?! Yaani umeongea use@nge wa hali ya juu.
Acha wivu
Omba na wewe Mungu akujalie kifo chema.
 
Uchawa kwa kiongozi wa dini haufai,mbona sijamsema vibaya Askofu Niwemugizi au Bagonza ila nimemsems aliyekuwa anatetea maovu ya Magufuri.
Wivu kwa kuwa walienda kumuombea dakika za mwisho na hicho kitu ndio kinawatesa sana hadi mnawachukia maaskofu walioenda kumuombea
Omba na wewe Mungu akujalie kifo chema kama Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…