Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Sasa ni Rasmi Magufuli amegoma kufa!

Asante kwa kuwatukana viongozi wa dini kisa wewe ni imani tofauti
Soma hapa


1 Petro 2:17: "Heshimuni wote, pendeni ndugu wa kiroho, mwogopeni Mungu, mheshimuni mfalme." Hii inatuonyesha kwamba tunapaswa kuheshimu kila mtu, ikiwa ni pamoja na viongozi wa dini nyingine, wakati tunawajibika kwa Mungu.

Tofautisha Viongozi wa dini na chawa wa Magufuli.
 
Nasema hivi, hata Iddi Amin tunamkumbuka. Hivyo kukumbukwa sio issue, ninachojua Mimi Magu alikuwa kiongozi muovu. Zingatia, wazuri hawafi.
🤣🤣🤣 ila baba yako aliekufa nae ni mbaya
 
Toka mfumo wa vyama vingi uanze 1992
Hadi leo huyu si dicteta tukimpa nchi huyu hatoki hadi afe
Dah! Kwa hivyo unataka kusema Mbowe ndio mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA?.
 
Nyerere anachagizwa na mijadala ya kitaifa. Kigoda cha nyerere, masomo shuleni, Nyerere day..n.k

Ngoma JPM - Hakuna cha serikali wala cha nini..ni siku zote tu, haiishi siku hujaona uzi wa JPM.
Nikawa nawaza kwa mbaali,

Ni kama kifo cha Ruksa watu walitaka kiwe big issue kuliko mwamba Jiwe.

Imagine juzi Konda Boy anasema rais atapokea changamoto za mwananchi kama kuenzi upokeaji wa changamoto alivyofanya mzee Ruksa, nikawaza

Hivi kati ya Ruksa na Jiwe nani alikuwa mwaasisi wa dhati kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi papo kwa papo.


Jibu likaja kwamba maumivu niliyo nayo juu ya JPM sio ilivyo kwa hao tunaotegemea kutuongza kumuenzi,

Ila ukweli utabakia pale pale Mwamba ni kipenzi cha mamilion ya watanzania, hata mmunyamazie kaburi lake litafukuta na kunena jambo.
 
Watanzania wengi tulitamani kumuona Rais wetu JPM anamaliza awamu zake zote 2 .

Sasa tumebaki na matamanio ya je angemaliza Tanzania ingekuwa wapi sasa

Na wengi tunaamini tungekuwa mbali sana

Ila waliotuweza walituweza hasa

Asante Mungu kwa maisha ya mtumishi wake JPM

Tutamlilia daima
Mtumishi wa Mungu habagui watu. Ooh msichague upinzani sitaleta maendeleo.
 
Ila nyie wanafiki Sana. Alipopotezwa Ben Saanane mliongea maneno ya dhihaka kana kwamba hakustahili kisa ni CHADEMA, the Same kwa lwajabe na Gwanda. Hata Lissu alipomiminiwa riasisi mliongea kwa dhihaka. Ila Magufuli alipofariki kwa matatizo yake ya moyo mnajifanya kushutumu watu kuwa wamemuua. Kifo Cha Magufuli kiwe somo, unapoua watu jua na wewe utakufa.
Kwani Mbowe ameuwa wangapi hadi sasa hata Lissu alipigwa lisasi na Mbowe

Chacha wangwe alisha wai ambiwa na Mbowe huwezi pata kiti changu hata ufanyaje

Ubishi wa Chacha wangwe wakutaka kiti kulimpelekea kuonekana mkorofi na si mwaminifu ndani ya chama hicho . alifanyiwa kila aina ya ftina na unafki hili ashindwe kuwania na kuupata uwenyekiti

Kilicho mkuta Chacha wangwe kijana shupavu hodari sana makini m/mungu ndo anajua na ndio atakae toa hukumu hiyo juu ya umafia alio fanyiwa kijana huyo

Mbowe anawajibika sana juu ya kuwafanyia hujuma vijana ambao wanakua na niaya na ndoto ya kuwania kiti hicho ndani ya chama. Lazima hujuma zita asisiwa na mbowe ili tu kuwaferisha wasiweze kuchukua kiti

Zitto huyu jamaa baada ya kuweka wazi niaya na dhamira yake ya kutaka uongozi mkubwa ndani ya chama hicho alijikuta kajipalia kaa la moto mbele ya mbowe na kuanza kufanyiwa hujuma na kupandikiziwa chuki dhidi yake kwa wanachama na mashabiki wao

Zitto alituumiwa yakua ni kibaraka wa ccm anatumika na kutumiwa na ccm kuivuruga chadema

Zitto alikuja ona shubiri pale baada ya kudai apewe mrejesho juu ya matumizi ya fedha za ruzuku walizo pewa .
Alionekana ni adui mkubwa wa chama na kuambiwa kakidharirisha na kukivua nguo chama hicho

Zitto alitaka kuvuliwa uanachama ila walikwama na kushindwa kwa kukosa kutimiza baadhi ya vipengele na taratibu

Hayo yote ufanywa na mbowe kuwafukuza na kuwakimbiza chamani wale wote ambao wanakitaka kiti alicho kikalia kwa hisani ya baba mkwe wake
 
Kwani Mbowe ameuwa wangapi hadi sasa hata Lissu alipigwa lisasi na Mbowe

Chacha wangwe alisha wai ambiwa na Mbowe huwezi pata kiti changu hata ufanyaje

Ubishi wa Chacha wangwe wakutaka kiti kulimpelekea kuonekana mkorofi na si mwaminifu ndani ya chama hicho . alifanyiwa kila aina ya ftina na unafki hili ashindwe kuwania na kuupata uwenyekiti

Kilicho mkuta Chacha wangwe kijana shupavu hodari sana makini m/mungu ndo anajua na ndio atakae toa hukumu hiyo juu ya umafia alio fanyiwa kijana huyo

Mbowe anawajibika sana juu ya kuwafanyia hujuma vijana ambao wanakua na niaya na ndoto ya kuwania kiti hicho ndani ya chama. Lazima hujuma zita asisiwa na mbowe ili tu kuwaferisha wasiweze kuchukua kiti

Zitto huyu jamaa baada ya kuweka wazi niaya na dhamira yake ya kutaka uongozi mkubwa ndani ya chama hicho alijikuta kajipalia kaa la moto mbele ya mbowe na kuanza kufanyiwa hujuma na kupandikiziwa chuki dhidi yake kwa wanachama na mashabiki wao

Zitto alituumiwa yakua ni kibaraka wa ccm anatumika na kutumiwa na ccm kuivuruga chadema

Zitto alikuja ona shubiri pale baada ya kudai apewe mrejesho juu ya matumizi ya fedha za ruzuku walizo pewa .
Alionekana ni adui mkubwa wa chama na kuambiwa kakidharirisha na kukivua nguo chama hicho

Zitto alitaka kuvuliwa uanachama ila walikwama na kushindwa kwa kukosa kutimiza baadhi ya vipengele na taratibu

Hayo yote ufanywa na mbowe kuwafukuza na kuwakimbiza chamani wale wote ambao wanakitaka kiti alicho kikalia kwa hisani ya baba mkwe wake
Nashukuru imeukubali kwamba Magufuli alikuwa muuaji. Asante sana.
 
Si mlisema Hana ubavu wa kuimaliza lakini. Mmeamua kupiga u- turn baada ya kuona Samia ni raisi Bora kumzidi rais yeyote aliyewahi kuongoza nchi hii
We jamaa mbona unaongea ufala!?
YANI SAMIA AWE RAIS BORA KULIKO MARAIS WOTE!?
Embu kuwa na heshima na adabu.
 
Tofautisha Viongozi wa dini na chawa wa Magufuli.
Kwa hiyo Paroko na kadlinali na Chawa?
Asante kwa comment
Au kwa sababu walikubali wito wa kwenda kumuombea Magufuli kipindi anaumwa au kwa kuwa wewe ni mtoto wa malasusa??
 
We jamaa mbona unaongea ufala!?
YANI SAMIA AWE RAIS BORA KULIKO MARAIS WOTE!?
Embu kuwa na heshima na adabu.
Nani amewahi kumzidi kwani. Nchi Ina furaha ni ni ya kwanza duniani kwa furaha wakati nchi ilikuwa ya mwisho duniani kwa furaha chini ya jpm
 
Nashukuru imeukubali kwamba Magufuli alikuwa muuaji. Asante sana.
🤣🤣🤣🤣 na wewe umekubali mbowe ndio aliemuua Chacha wangwe na kumpiga lissu lisasi nashukuru pia
 
Mambo ya chama yanaisha kichama kwa kuzungumza na wahusika walirudisha mali.ndo maana Mali za chama zinathamani ya sh trillion 1.50
Kama ni hivyo kulikuwa na haja gani ya kuunda Tume. Wangeyamaliza chamani tu. Bila kututangzia Tume kwa mbwembwe halafu mwisho wakajificha mpaka Leo.
 
Sasa wapi ambapo hajagusa miaka hii mitatu. Jpm hajawahi kuajiri kwa miaka yote aliyokaa madarani na pia private sector ilikufa. Samia ameajiri mamia kwa maelfu na private sector kafufua
Hakuwahi kuajiri? Au aliajiri kidogo? Kuwa na evidence za kutosha ukitaka kujibu hoja.
 
Nani amewahi kumzidi kwani. Nchi Ina furaha ni ni ya kwanza duniani kwa furaha wakati nchi ilikuwa ya mwisho duniani kwa furaha chini ya jpm
KWa huu uzwazwa CCM itaendelea kutudumaza mpaka kiyama.
Unaamini kabisa WaTanzania tuna furaha!!?
-Nenda vijijini huko ukaone ushuru hadi wa pilipili ukisafiri na mazao.
-Umeme umekua ni shida.
-Upigaji umekua mwingi kila kona.
-Watumishi wa umma wamerudi kutokuwa wawajibikaji.
-Nchi imekua na ahadi za uongo mathalan katika suala la umeme na SGR.
YANI UKO SERIOUS UNASADIKI TZ TUNA FURAHA??
 
Back
Top Bottom